Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

Mm nliandka hapo juu Nina shauku sana Rakims
Mm ke 13/8 jina G lingne T
Yy me 3/3 jina G/M
Kifupi hamuendani na hamna maelezo marefu kwenye nyie ni moja kati ya couple iliyokosea njia au pa kwenda no matter how she is wewe kwake ni sawa na moto wa mkaa ukautupe kisimani utegemee uendelee kuwaka tafuta mwingine maana mtazamo unaonyesha wewe ni mkali,mwenye kutawala;
Yeye ni mtu asiyependa kutawaliwa na ni wa mambo ya miujiza au kichawi(Mshika dawa)
Mtajikuta ni wenye kufanyiana fitina kwa sababu mpo tofauti sana hapo ni sawa na kama sio wewe mwenye mambo ya waganga na vidawa dawa vya kuroga mapenzi basi ni yeye huna tofauti na mtu aliyeoa mchawi halafu hamjui ni level imejaa mauza uza ikikutana na wewe uongo mwingi na imani nyingi ana pande mbili za shiringi kama sio mshirikina basi ni mtibu ushirikina imani yake imebase katika mambo ya kichawi au kiroho kama sio black magic basi ni white.
Japokuwa kasoro au tofauti zenu wewe hazikuumizi kichwa lakini tabia zako na zake haziendani kabisa endelea kuwa nae utajua nazungumzia nini,
Kupenda kwako kutoka na kuenjoy maisha na kujifunza dunia inasema nini kwake yeye ni vitu vya ajabu na yeye ni mtu wa kujificha ndani au msiri msiri mambo yake sasa wewe tabia yako ya kujionyesha kwake sio na wewe unamove fast while she is slow,
Nyote mnatabia ya kuchukua zaidi ya kurejesha kitu ambacho kwenye mapenzi huwa ni nipe nikupe sasa wote mkiwa ni nipe cha kupewa kitakosekana.
Usiri wake ni kitu ambacho hutaweza kuvumilia.
Muda hautakuwa mrefu wewe utaanza kusaka nje.

Rakims
 
Kifupi hamuendani na hamna maelezo marefu kwenye nyie ni moja kati ya couple iliyokosea njia au pa kwenda no matter how she is wewe kwake ni sawa na moto wa mkaa ukautupe kisimani utegemee uendelee kuwaka tafuta mwingine maana mtazamo unaonyesha wewe ni mkali,mwenye kutawala;
Yeye ni mtu asiyependa kutawaliwa na ni wa mambo ya miujiza au kichawi(Mshika dawa)
Mtajikuta ni wenye kufanyiana fitina kwa sababu mpo tofauti sana hapo ni sawa na kama sio wewe mwenye mambo ya waganga na vidawa dawa vya kuroga mapenzi basi ni yeye huna tofauti na mtu aliyeoa mchawi halafu hamjui ni level imejaa mauza uza ikikutana na wewe uongo mwingi na imani nyingi ana pande mbili za shiringi kama sio mshirikina basi ni mtibu ushirikina imani yake imebase katika mambo ya kichawi au kiroho kama sio black magic basi ni white.
Japokuwa kasoro au tofauti zenu wewe hazikuumizi kichwa lakini tabia zako na zake haziendani kabisa endelea kuwa nae utajua nazungumzia nini,
Kupenda kwako kutoka na kuenjoy maisha na kujifunza dunia inasema nini kwake yeye ni vitu vya ajabu na yeye ni mtu wa kujificha ndani au msiri msiri mambo yake sasa wewe tabia yako ya kujionyesha kwake sio na wewe unamove fast while she is slow,
Nyote mnatabia ya kuchukua zaidi ya kurejesha kitu ambacho kwenye mapenzi huwa ni nipe nikupe sasa wote mkiwa ni nipe cha kupewa kitakosekana.
Usiri wake ni kitu ambacho hutaweza kuvumilia.
Muda hautakuwa mrefu wewe utaanza kusaka nje.

Rakims
Nifanyeje ili niendelee nae mkuu mm siwez kumuacha yan
 
Me 21/11 S
Ke 10/11 A

Mimi ni Me
Kati yenu kuna mvuto mkubwa sana wa ngono hapa, lakini joto la kihisia haliwezi kuendelea kuongezeka milele.

Nyie ni watu wawili wanaofanana sana na maelewano kati yenu ni kidogo sana.

Ni wenye wivu wa kupindikia kila mmoja na asili ya mapenzi ya kudai mfano nimefanya hichi wewe hujanifanyia.

Wote ni wakali sana kwamba kila dhoruba ndogo haraka inakuwa kimbunga.

Nyote wawili ni wapenda shari, wenye kuchukizana, kutaka kumilikiana.

Wote wawili mpo kwenye mapambano ya mara kwa mara kulazimisha mwingine kuachia ngazi ya utawala wa mahusiano ama awe ndio sababu ya kuachana.

Mmoja kati yenu hukubali kushindwa na likitokea hilo ni mwisho wa hadithi.

Rakims
 
Kati yenu kuna mvuto mkubwa sana wa ngono hapa, lakini joto la kihisia haliwezi kuendelea kuongezeka milele.

Nyie ni watu wawili wanaofanana sana na maelewano kati yenu ni kidogo sana.

Ni wenye wivu wa kupindikia kila mmoja na asili ya mapenzi ya kudai mfano nimefanya hichi wewe hujanifanyia.

Wote ni wakali sana kwamba kila dhoruba ndogo haraka inakuwa kimbunga.

Nyote wawili ni wapenda shari, wenye kuchukizana, kutaka kumilikiana.

Wote wawili mpo kwenye mapambano ya mara kwa mara kulazimisha mwingine kuachia ngazi ya utawala wa mahusiano ama awe ndio sababu ya kuachana.

Mmoja kati yenu hukubali kushindwa na likitokea hilo ni mwisho wa hadithi.

Rakims
Hapa Rakims
Me;11/05 H (Mimi)
Ke;23/07 V(yeye)
 
Me 11/05 H
Ke 23/07 V
Yeye hupenda sifa za mara kwa mara na Kutamaniwa na watu pamoja na kusifiwa.

na yeye milele mpinzani wake huwa ni mwenye nyota ya Ng'ombe ambaye ni wewe, Ningekuwa namfahamu huyu mwenzio ningemwambia atafute pa kwenda kwa maana wewe na yeye ni kama mbingu na ardhi vyovyote vile atakuja kukukera au utamkera mchukiane maisha hata salam zitagoma,

Matokeo yake kwenye mahusiano yenu. Kila siku yeye atataka kuabudiwa na wewe utataka kuthaminiwa hii couple haijawahi kwenda sawa hata kwa marafiki tu wa jinsia moja. Wewe utajikuta ni mwenye kupenda kuonekana hata kwa kidogo tu unachofanya yaani kuthamini sana hata kama jambo ni dogo na yeye atapenda kutukuzwa sana hata kama ni dogo.

Wapi uliwahi ona mfalme akamsujudia mtumwa au banki ikaomba mkopo kwa maskini (hutaona isipokuwa miujiza ya Mungu itokee) mkiachana wewe ni mwepesi sana kupata mpenzi wa kawaida na yeye ni mzito sana kurejea kwenye mapenzi.

Katika mahusiano yenu utakuja kumkosea kitu kidogo atakuchukia hadi maiti yako atainanga ukitangulia mbele za haki.

Hakuna kati yenu atakae pata anachotaka kwa mwenzie kwa wakati bila kutumia ubabe na nguvu ya ziada mkielewana leo kesho lazima amsha amsha ianze.

Zaidi ya kuongezea yeye ni mwenye ghazabu na wewe ni mpole.

Ghadhab, yake yeye ni kujaa kifuani fundo la miaka mingi na upole wako wewe ni Gubu.

Kuna ugomvi mkubwa kati ya tamaa zako kwa kutaka mambo yaende kwa mpangilio na yeye mwenye kuhitaji zaidi kupita hali ya maisha yani kama mna budget ya mwezi yeye yupo radhi aitumie wiki.

Kingono/tendo utapenda jinsi mnavyoendana ni balaa, lakini yeye anaangalia maisha kama duara 3 ambazo zinatakiwa kuzunguka pamoja na wewe hii itakuwia ugumu kutizama.

Muache aende kwa kina Aquarius ndio wanawezana nae na wewe tafuta Scorpio akuchangamshe vile unavyotarajia.

Rakims
 
Mimi: Mwanaume Yeye:Mwanamke

Herufi G Herufi: S

Tarehe 13/12. Tarehe: 6/08

Mkuu Rakims
Katika mahusiano yenu wewe unaonekana ni mwenye asili ya moto wa nyasi na yeye ni moto wa mkaa mnaendana vema kila mmoja kati yenu anamuona mwenzie anamfaa zaidi.

Kuna mambo mengi ya kusisimua yatakayo kuja kuwatokea kwenye mahusiano yenu, yeye mwenye kujiamini inatoa uhakika kabisa kwamba atafungua hisia zako zote za tamaa ulizonazo katika mapenzi, na mapenzi yenu ni ya maajabu sana, nyote mnafurahia kusafiri pamoja, kukutana na watu wapya, na kila mmoja kati yenu anafurahika kuwa karibu na mwenzie yeye ni mwenye kupenda uhuru sana ikiwa ni pamoja na wewe,

Hivyo katika mahusiano yenu kutakuwa hakuna matatizo ya wivu ikiwa ni pamoja na kutawaliana ni couple moja nzuri sana mkipatana.

Wewe una mwanga mzuri wa kuendana nae kimazungumzo na vile vile ni mwenye uwezo mkubwa wa kukabiliana na Gubu lake.

Hakuna maelezo mengi kuhusu mausiano yenu isipokuwa jambo kubwa moja ni kwamba nyie ni Grand mating.

Ukimpoteza huyo kumpata wa hivyo huwa kazi.

Rakims
 
Mimi ni Mwanamke
Tarehe 26/12 jina R

Tarehe 11/12 jina S (Me)
Ipo hivi kwa mtizamo wewe ni mwenye asili ya mchanga wa bahari na yeye ni moto wa nyasi kwa haraka tu hapa mnakuwa hamuendani mkuu kwa maana mpo tofauti sana kwa maana;- wewe unaonekana ni mwenye kufurahiwa sana na yeye kwa kipindi cha awali na yeye utamuona ni mwenye matumaini makubwa lakini vile vile yeye mtizamo wake kwako anakuona ni sawa na mtu aliyejitosheleza lakini nyote kwa pamoja kwenye mahusiano yenu mapema sana utaanza kukasirishwa na matakwa yake ya uhuru bila masharti.

Utahisi kuwa huna uwezo tena wa kuweza kumuamini kwa maana tabia za kutaka uhuru zaidi zitatia dosari mahusiano yenu

Na tabia ya kujichanganya, matumizi na kutokujali kwake ikianza kujidhihirisha moja kwa moja na wewe mshipa wa subira utakatika kwa maana matakwa yako yanaonekana ni mtu mwenye kutaka mke ambaye atatulia nyumbani/ndani lakini yeye ni mwenye kutaka mume mwenye kumruhusu kufanya chochote anachotaka muda wowote.

Kamba yoyote au lolote linalowaunganisha kuwa kwenye mahusiano au ndoa basi haina maisha marefu na huishia kukatika.

Rakims
 
Mbona hujaniambia mimi mkuu?
Mimi
Me 1/1
Yeye ke 20/10
Kwa jinsi ulivyoomba mkuu nilitamani majibu yawe tofauti lakini kwa uwezo ambao niliojaliwa kwa kifupi naweza tu kukujibu kwamba hapo umekosea uelekeo,
Wewe ni mchanga wa bahari na yeye ni upepo wa juu licha ya kutokuendana hata kukaribiana hakaribiani na hili utajionea maana ya ile kauli kwamba unaweza kukaa kwenye uhawara miaka 10 lakini mwaka mmoja wa ndoa ukakushinda.
Wewe ni mtu mwenye kuvutiwa na yeye kwa sababu anamvuto ambao wewe unajikuta ni mtu wa kumbembeleza na na kubembelezea mapenzi upendo mlionao unaweza kukuokoa kwa kipindi fulani lakini hizi ndio ndoa ambazo wenza huwa wanarushiana ngumi maana ni uvumilivu hadi una give up japo mtafanikiwa kupata watoto kirahisi na mtazaa watoto wazuri kwa kuwa tu mnaingia mlango wa 5 kwenye ndoa yaani kizazi na mali lakini mateso ni makubwa kuliko mapenzi.

Yeye ni mtu mwenye tamaa na wewe kwenye mahusiano kwa muda huu. Elewa ya kwamba mahitaji yake katika mapenzi kuna jinsi na hali atakazo kuwa anataka uwe na wewe hutakuwa na uwezo wa kumpatia kikubwa wapo ni hisia haijarishi utafanya nini kwake hataona ukweli wa hisia zako kumpenda na ataona ni maneno pia kutoshelezana kwenu ni kwa uchache sana yeye anapenda sana mauno na wewe magoti kidogo itafikia sehemu itakuwa ni mtihani kipindi hiki kwanza utakua huelewi elewi utakuwa unaona kama ni mtu asiyesomeka baadae mwezi wa 9 hadi wa 10 kama hujamuoa anaweza kukwambia anaona uelekeo wa maisha hauoni na kuna uweze kano mkubwa mwezi huo wa mwaka huu akaanza kujihusisha na mtu mwingine na pia utapata habari kupitia mawasiliano yake kwa hivi sasa.
Atapenda mambo ambayo hutaweza kumtimizia kwa wakati anaoutaka sio kwamba huna uwezo wa kutimiza na akiwa tofauti na mtu mwingine utaona hiyo tabia hana atakuwa nayo kwako.
Na katika hali za kujionyesha na kuwaonyesha watu kuwa anajambo fulani ni tabia ambayo wewe huna kitu ambacho yeye hupenda mtu aliyenae awe hivyo
Na utakuwa ukimuheshimu kwenye mahusiano na yeye atakuwa anakuchukulia kama ni mpuuzi,atakuona mbinafsi na unakosea na mapenzi hayapohivyo na utatolewa kasoro

Baada ya hapo kwenye mahusiano hukugeuka na kuanza
kuangalia mahali pengine. Na kukuweka uwe na wivu nae kwake ni starehe japo ni jambo litakalo kuwa linakutesa.
Japo kuwa ni mtu mzuri kwa watu wengine kwako wewe mahusiano haya ni Kichocheo cha maafa (Sijataka kwenda deep sana kwenye case ya wazazi ambayo ndio inanifanya nikwambie ni mtu asiyekufaa.

SEHEMU YA HISIA:
Kiuno chake ndio sehemu inapotawala hisia yake utaona analalama kiuno kinasumbua ili tu kupata kupapaswa na kukandwa eneo hilo.

Rakims
 
Mkuu Rakims
Mimi ME 29/02

Yeye KE 01/05

Mimi( ME)jina mwanzo E
Yeye (KE)jina mwanzo G
Mahusiano haya yeye anaonekana ni mwenye nguvu, mamlaka na mwenye uwezzo wa kutoa usalama kwako ambaye mara nyingi unakuwa na asili ya kuyumba yumba, Pia yeye ni mtu anaeweza kukuongezea mawazo ya ubunifu kwa kuwa wewe una asili ya ubunifu,

Wewe pia utamletea tabia ya kumjali, na pia kwake yeye utakuwa ni mwenye kujiachia, mkiwa pamoja basi mtahakikisha kuyaweka sawa mapenzi yenu na kuwekana sawa ikiwa ni pamoja na kurekebishana, nyote ni wenye mapenzi ya dhati katika mahusiano haya na wenye hisia kali, ingawa wewe ni mwenye hisia kali zaidi na na tabia yeke yeye ya kutaka kujiweka kuwa mtawala basi hukufanya kujihisi kama kakulinda na kukulindia mapenzi yako.

wakati utawala wake hukufanya wewe kujihisi umelindiwa mapenzi basi ndivyo inavyokuwa kwa maana anakuwa ni kweli kalinda mahusiano yenu na vile vile itafikia sehemu utahisi na kuona kakutosheleza na hutahitajia mwingine tofauti na yeye.

Ikiwa yeye atajirekebisha na kitabia chake cha kutaka usaliti kichini chini basi ni mtu ambaye mnaendanana nae pia katika mahusiano haya.

rakims
 
Mimi Me 5/6 E
Yey ke 9/9 H
Wewe ni mwenye asili ya upepo wa kawaida yaani pumzi na yeye ana asili ya udongo wa mwekundu nyie wawili mnaendana kwa asilimia 40% tu na hiyo ni kwa sababu nyote wawili mmechangia sayari moja katika hali zenu ambapo inapelekea kuwa vizuri katika;
1: Mawasiliano na Utambuzi wa akili = 80%
2: Hisia = 55%
3:Kusaidiana na kuthaminiana =40%
Lakini kwenye uaminifu na tendo la ndoa ni 2% kitu ambacho kinabeba mahusiano na ndoa huwa ni uamiifu na tendo la ndoa ambacho kwenu kimebeba asilimia 60% hiyo ni kwa sababu kila mmoja kati yenu anasifa ya kutawaliwa na akili mbele hisia nyuma sasa.

Hapo ndio mwisho wenu hutokea zinapoanza kufanya kazi akili zaidi kuliko hisia.
Na hata mahusiano yenu yanavyoanza utaona kila mmoja anakuwa na doubt kuhusu mwenzie
Yeye ni mtu anaekuchukulia wewe kama ni mtu ambaye akili yako haijakomaa yaani anakuona mdogo kiakili haijalishi kama kawahi kukwambia au la hilo ndio linaloendelea mara kwa mara katika akili yake.
Tukirejea kwako utamchukulia au unamchukulia kama mtu ambaye mfano wake ni fimbo iliyochomekwa kwenye tope yaani habadiriki kimawazo wala maamuzi yaani kiswahili rahisi unaweza kuanza kumuona kama kisiki.
Njisi yeye anavyotumia akili yake katika kukuchambua na kukutakia mambo wewe utakuwa unaona kama ni mtu ambaye hakujali.

Yeye ni mtu utamuona mwenye kutaka sana kutizamia mifano ya maisha ya watu na mitizamo yake huwa tofauti na wewe.

Nae anapokutizamia wewe anaona ni mtu mwenye maisha ya juu juu na mwenye kupenda kupoteza muda katika mambo ya kijamii kama mitandao ya kijamii.

Na pia yeye ndio hujiona muhimu zaidi inapokuja kwenye mtizamo wa wewe na yeye wakati wewe unakuwa ni mtu usiye na busara inapokuja kwenye swala hilo.
Shauku yenu kwa kila mmoja itakuwa ni ya chini na maisha yenu ya kingono(tendo la ndoa huanza kupooza mapema tu.
Na wewe utaanza kuangalia nje.
Kama kawaida yako kiroho wanakuita sura mbili.

SEHEMU ZA HISIA:
Ukitaka kuwa nae hivyo hivyo basi fahamu sehemu zake za hisia ni tumbo mtekenye tekenye tumboni na kumpa parapanda hapo hata kama umemkosea ama umemnunisha utamuona anaanza kucheka na kufurahi na hupenda sana kushikwa kwa vidole tumboni wakati wa tendo.
Na kupitishiwa ndimi sehemu ya mstari wa tumbo uzazi pia mkono wako kushika tumbo lake kwa ulaini wakati wa tendo ni kitu kinachomfanya akuone kama mfalme.

Fanya hayo kumfurahisha lakini hutampenda nje ya hapo ndivyo kama nilivyokueleza

Rakims
 
Katika mahusiano yenu wewe unaonekana ni mwenye asili ya moto wa nyasi na yeye ni moto wa mkaa mnaendana vema kila mmoja kati yenu anamuona mwenzie anamfaa zaidi.

Kuna mambo mengi ya kusisimua yatakayo kuja kuwatokea kwenye mahusiano yenu, yeye mwenye kujiamini inatoa uhakika kabisa kwamba atafungua hisia zako zote za tamaa ulizonazo katika mapenzi, na mapenzi yenu ni ya maajabu sana, nyote mnafurahia kusafiri pamoja, kukutana na watu wapya, na kila mmoja kati yenu anafurahika kuwa karibu na mwenzie yeye ni mwenye kupenda uhuru sana ikiwa ni pamoja na wewe,

Hivyo katika mahusiano yenu kutakuwa hakuna matatizo ya wivu ikiwa ni pamoja na kutawaliana ni couple moja nzuri sana mkipatana.

Wewe una mwanga mzuri wa kuendana nae kimazungumzo na vile vile ni mwenye uwezo mkubwa wa kukabiliana na Gubu lake.

Hakuna maelezo mengi kuhusu mausiano yenu isipokuwa jambo kubwa moja ni kwamba nyie ni Grand mating.

Ukimpoteza huyo kumpata wa hivyo huwa kazi.

Rakims

Ahsante sana mkuu
 
Back
Top Bottom