Niseme Nisisemeeeeeee.......

Niseme Nisisemeeeeeee.......

Mmmhh,, hivi Kasie hujazeeka tu,,,, au ngombe hazeeki maini,,, najiuliza tu,,,,

Mbona mnarudisha umri wangu nyuma jamaniii, mie ni kigagulaaa sio mzee. Huko kuzeeka nishapita sasa hivi niko mbele ya uzee ndo ugagula huoo....

Pamoja na hayooo Kasie is a new wine in an old bottle. Digest that.....
 
No.

*** you times Dkt. Shika’s billions.

Aaahahahahahhahahahahahaaa ujue umefanya nijimwagie maji niliyokuwa nakunywa. .....

Na ntakurudishia tuu... wee subiri tuu.... utaonaaaa..... aahahahahhahahahaaa (get what I mean?)
Ndo maana mjomba ake Dr. Shika weeh.
 
Aaahahahahahhahahahahahaaa ujue umefanya nijimwagie maji niliyokuwa nakunywa. .....

Na ntakurudishia tuu... wee subiri tuu.... utaonaaaa..... aahahahahhahahahaaa (get what I mean?)
Ndo maana mjomba ake Dr. Shika weeh.

Unataka mabilioni ya mpwae na Dkt Shika?
 
love u Kasie matata,naona umetuliza nayeye amekuwa nyoronyorooo bin mwororo...ndagha fijho

Kasie kigagula matata ng'ombe hazeeki maini na nanliu,hahah

Thanks for the love, peace and love back to you.
 
Unataka mabilioni ya mpwae na Dkt Shika?

Mie nataka mpwae Dr. Shika anionjeshe nanliu yake halafu hayo mabilioni yatajijua mbele kwa mbele yanasovikaje..... hehehehhehehehehheeee


Utabiringita baada ya kufinywa?
 
Rudia kusoma ulichoandika alaf umpe mwingine asome alaf mwambie akupe sincere ans aidha ww ni mzima au sio mzima?

Pole sana binti

Peleka pole yako ukatoe sadaka kwa wahitaji mie sizihitaji hizo huruma zako. Na iweje unihurumie hivo.....

Anyways wako wengi wanaotumwa halafu huwa wanashindwa na wakishindwa haoo wanapotea. Basi kupitia uzi huu nakupa nafasi ya kutuma salamu kwa ndugu na jamaa zako walioko humu na nje ya JF.
 
Mwenzenu Kasie. .... nimeng'atwaa...... na....... dondola Dadiiiiiiiiiiiiiiii aahahahahhahahahahahahahaaa

Ila bado sijasemaaaa kitu chenyeweeeee hehehehehhehehehehee
aisee......
 
Peleka pole yako ukatoe sadaka kwa wahitaji mie sizihitaji hizo huruma zako. Na iweje unihurumie hivo.....

Anyways wako wengi wanaotumwa halafu huwa wanashindwa na wakishindwa haoo wanapotea. Basi kupitia uzi huu nakupa nafasi ya kutuma salamu kwa ndugu na jamaa zako walioko humu na nje ya JF.
Unahitaji msaada binti..niruhusu nikusaidie
 
Bado hata siamini.....
Ni muendelezo wa mahaba ya Kasie na Dadiiii. ......

Hizi nyimbo ndo zinasema yote how much I love my dadiiiiii mahaba mia mia kwako Dadiiii mmuaah! !!





Halafu ujue umening'ata. ....... haha hahahahahahahahahahaaaa
Kasie mahabat.

Unajitahidi kuukimbia uzeee ila ndiyo hivyo..
 
Mbona mnarudisha umri wangu nyuma jamaniii, mke ni kigagulaaa sio mzee. Huko kuzeeka nishapita sasa hivi niko mbele ya uzee ndo ugagula huoo....

Pamoja na hayooo Kasie is a new wine in an old bottle. Digest that.....
Nachokupendea Kasie,,,,uko dramatic,,,,you make the ball roll,,,,you mix jokes and stories and facts together and create fantasies,,,, keep it up babeeee,,,,,,that life sweetheart
 
Unahitaji msaada binti..niruhusu nikusaidie

Maumivu ya kichwa huanza polepoleee na safari moja huanzisha ingine......

Nilisema mimi na niloshang'amua tangu unaanza na matibabu yako ya kienyeji.....
Ona sasa unakoelekea... kule kule. ..

Unaanzaje kupata ruhusa mbele ya Dadii kwa mfano.....

Nshakwambia msaada wako peleka huko Kasie is for Dadiii only. Hahahahahhahaa halafu naona umeongeza na technic ingine hehehehehehehehee refer your avatar

Kasie matata.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom