Niseme Nisisemeeeeeee.......

Niseme Nisisemeeeeeee.......

We mwenzio yuko madly, deeply, and crazily in love we unasema ni mid life challenge crisis?

Hehehehehehehehehehehehehehehehehee

Hivi, naomba nisaidie kunielewesha......hiyo mid life crisis wanayosemaga inawapataga watu wenye mahaba tuu?

Wenye ugumba wa mahaba huwa hawapati hiyo midlife crisis?
Au ni tusi? Ngoja nikutusi wewe... mid life crisis weeh Hehehehhehehe heheheee
 
Bado hata siamini.....
Ni muendelezo wa mahaba ya Kasie na Dadiiii. ......

Hizi nyimbo ndo zinasema yote how much I love my dadiiiiii mahaba mia mia kwako Dadiiii mmuaah! !!





Halafu ujue umening'ata. ....... haha hahahahahahahahahahaaaa
Kasie mahabat.

Mmmhh,, hivi Kasie hujazeeka tu,,,, au ngombe hazeeki maini,,, najiuliza tu,,,,
 
Unahitaj ushaur wa kisaikolojia binti horizon unayoisha sasaiv inakinzana na reality ako..una delusion dillema ..ni ugonjwa mbaya sana..ww ni chizi mtarajiwa..tafuta tiba mapema

Kwanza umenikumbusha jamaa mmoja hivi alikuwa anaitwa Tyta siku hizi hata simuoni naona kubadili jina la hapa JF au kutoka kabisa au ndo kaja kwa jina lingine.

Maneno yako na yake ni hayo hayo sana sana hapo umesahau kuweka neno syndrome. Heheheheheheee nawapa pole sana.

Pili, wewe ni Daktari? Na clinic yako haina wagonjwa? Hivo unawasaka wagonjwa kinguvu ili ujidai unawatibia kumbe lengo lako uuze madawa? Daaah watu wana mbinu nyingi ila with Kasie. .... you need to go an extra mile.

Tatu na mwisho, kuna akili inaniambia kuna watu huwa wana aina zao flani hivi za utongozaji.... utaona kila mahali anamfatilia mtu anayetaka kumtongoza na kumghasi ghasi. .... halafu sasa aidha ni aibu au kumtongoza hajui au ndo kujifanya sitaki nataka kumbe anajenga mazoea ili apate kula nyama hahahahahhahahaahaa looh. Shida ya kigagula Kasie keshapitia aina zote hizo na akiona tuu huwa anawagundua mapemaaaa.

Basi huwa nawaonea huruma tuu wanavohaha. Itabidi nianzishe chuo au shule ya kufundisha jinsi ya kutongoza maana hizi ni aibu na ni aibu mwanaume kuwa nazo hahahahhahahaaa.

Ngoja niwape siri moja ya Kasie, Kasie bana udhaifu wake ni kutongozwa kilugha hata kama hicho kilugha sikijui yaaani nakuwa nyoronyoroo ndembendembee. Ila kwa sasa haiwezekani tena maana dadiiiiii alishanitongoza na kilugha chake mwenyewe akiniongelesha masikioni naanza kucheka cheka mara nasinzia huku natabasamu. .. mara nasikia nimebanwa na haja ndogo lakini haitoki basi ni burudani na raha isiyo kifani.

Kasie matata.
 
Kwanza umenikumbusha jamaa mmoja hivi alikuwa anaitwa Tyta siku hizi hata simuoni naona kubadili jina la hapa JF au kutoka kabisa au ndo kaja kwa jina lingine.

Maneno yako na yake ni hayo hayo sana sana hapo umesahau kuweka neno syndrome. Heheheheheheee nawapa pole sana.

Pili, wewe ni Daktari? Na clinic yako haina wagonjwa? Hivo unawasaka wagonjwa kinguvu ili ujidai unawatibia kumbe lengo lako uuze madawa? Daaah watu wana mbinu nyingi ila with Kasie. .... you need to go an extra mile.

Tatu na mwisho, kuna akili inaniambia kuna watu huwa wana aina zao flani hivi za utongozaji.... utaona kila mahali anamfatilia mtu anayetaka kumtongoza na kumghasi ghasi. .... halafu sasa aidha ni aibu au kumtongoza hajui au ndo kujifanya sitaki nataka kumbe anajenga mazoea ili apate kula nyama hahahahahhahahaahaa looh. Shida ya kigagula Kasie keshapitia aina zote hizo na akiona tuu huwa anawagundua mapemaaaa.

Basi huwa nawaonea huruma tuu wanavohaha. Itabidi nianzishe chuo au shule ya kufundisha jinsi ya kutongoza maana hizi ni aibu na ni aibu mwanaume kuwa nazo hahahahhahahaaa.

Ngoja niwape siri moja ya Kasie, Kasie bana udhaifu wake ni kutongozwa kilugha hata kama hicho kilugha sikijui yaaani nakuwa nyoronyoroo ndembendembee. Ila kwa sasa haiwezekani tena maana dadiiiiii alishanitongoza na kilugha chake mwenyewe akiniongelesha masikioni naanza kucheka cheka mara nasinzia huku natabasamu. .. mara nasikia nimebanwa na haja ndogo lakini haitoki basi ni burudani na raha isiyo kifani.

Kasie matata.
love u Kasie matata,naona umetuliza nayeye amekuwa nyoronyorooo bin mwororo...ndagha fijho

Kasie kigagula matata ng'ombe hazeeki maini na nanliu,hahah
 
Kwanza umenikumbusha jamaa mmoja hivi alikuwa anaitwa Tyta siku hizi hata simuoni naona kubadili jina la hapa JF au kutoka kabisa au ndo kaja kwa jina lingine.

Maneno yako na yake ni hayo hayo sana sana hapo umesahau kuweka neno syndrome. Heheheheheheee nawapa pole sana.

Pili, wewe ni Daktari? Na clinic yako haina wagonjwa? Hivo unawasaka wagonjwa kinguvu ili ujidai unawatibia kumbe lengo lako uuze madawa? Daaah watu wana mbinu nyingi ila with Kasie. .... you need to go an extra mile.

Tatu na mwisho, kuna akili inaniambia kuna watu huwa wana aina zao flani hivi za utongozaji.... utaona kila mahali anamfatilia mtu anayetaka kumtongoza na kumghasi ghasi. .... halafu sasa aidha ni aibu au kumtongoza hajui au ndo kujifanya sitaki nataka kumbe anajenga mazoea ili apate kula nyama hahahahahhahahaahaa looh. Shida ya kigagula Kasie keshapitia aina zote hizo na akiona tuu huwa anawagundua mapemaaaa.

Basi huwa nawaonea huruma tuu wanavohaha. Itabidi nianzishe chuo au shule ya kufundisha jinsi ya kutongoza maana hizi ni aibu na ni aibu mwanaume kuwa nazo hahahahhahahaaa.

Ngoja niwape siri moja ya Kasie, Kasie bana udhaifu wake ni kutongozwa kilugha hata kama hicho kilugha sikijui yaaani nakuwa nyoronyoroo ndembendembee. Ila kwa sasa haiwezekani tena maana dadiiiiii alishanitongoza na kilugha chake mwenyewe akiniongelesha masikioni naanza kucheka cheka mara nasinzia huku natabasamu. .. mara nasikia nimebanwa na haja ndogo lakini haitoki basi ni burudani na raha isiyo kifani.

Kasie matata.
chizi wewe
 
Mkiachana pia kasie ufanye hivi jxt joking

Hakuna anayependa kuachana hasa kama mlianza kwa mahaba mazito. Kuachana si kuzuri ndo maana hata kama unamsindiza mtoto wako shule ya boarding saa ya kuagana unaweza toa chozi.

Kwa kifupu, mabaya au machungu huwa hayaanikwi. Hivo tukiachana na dadii usitarajie ntaweka uzi hapa.

Japo pia anyways let me reserve this......
 
chizi wewe

Hahahahaaa really..... you have seen Kasie's insanity eeehh...... then keep it don't tell others let it be a secret hehehehhehehee he

Habariiiinyoooo baba yooyooo
 
Hahahahaaa really..... you have seen Kasie's insanity eeehh...... then keep it don't tell others let it be a secret hehehehhehehee he

Habariiiinyoooo baba yooyooo
...

Kwema aseeh.
 
Acha kujiuza hovyo utapata ngoma

Ngoma ninazo siku nyingi ambayo sina ni matarumbeta, filimbi, fimbo za kupigia ngoma, na kinanda. Nikipata hivo ndo ntaacha kuuza mziki kwa sasa hivi ni mziki kwa kwenda mbele hadi kieleweke he hehehehehhehehehee macho yamekutokaaaa

Poleeeee.
 
Kwanza umenikumbusha jamaa mmoja hivi alikuwa anaitwa Tyta siku hizi hata simuoni naona kubadili jina la hapa JF au kutoka kabisa au ndo kaja kwa jina lingine.

Maneno yako na yake ni hayo hayo sana sana hapo umesahau kuweka neno syndrome. Heheheheheheee nawapa pole sana.

Pili, wewe ni Daktari? Na clinic yako haina wagonjwa? Hivo unawasaka wagonjwa kinguvu ili ujidai unawatibia kumbe lengo lako uuze madawa? Daaah watu wana mbinu nyingi ila with Kasie. .... you need to go an extra mile.

Tatu na mwisho, kuna akili inaniambia kuna watu huwa wana aina zao flani hivi za utongozaji.... utaona kila mahali anamfatilia mtu anayetaka kumtongoza na kumghasi ghasi. .... halafu sasa aidha ni aibu au kumtongoza hajui au ndo kujifanya sitaki nataka kumbe anajenga mazoea ili apate kula nyama hahahahahhahahaahaa looh. Shida ya kigagula Kasie keshapitia aina zote hizo na akiona tuu huwa anawagundua mapemaaaa.

Basi huwa nawaonea huruma tuu wanavohaha. Itabidi nianzishe chuo au shule ya kufundisha jinsi ya kutongoza maana hizi ni aibu na ni aibu mwanaume kuwa nazo hahahahhahahaaa.

Ngoja niwape siri moja ya Kasie, Kasie bana udhaifu wake ni kutongozwa kilugha hata kama hicho kilugha sikijui yaaani nakuwa nyoronyoroo ndembendembee. Ila kwa sasa haiwezekani tena maana dadiiiiii alishanitongoza na kilugha chake mwenyewe akiniongelesha masikioni naanza kucheka cheka mara nasinzia huku natabasamu. .. mara nasikia nimebanwa na haja ndogo lakini haitoki basi ni burudani na raha isiyo kifani.

Kasie matata.
Rudia kusoma ulichoandika alaf umpe mwingine asome alaf mwambie akupe sincere ans aidha ww ni mzima au sio mzima?

Pole sana binti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom