Hahaha I smell shitwacha weee!! Mwenzio kafika hapo!!
Alikupa 10M?
Kmamae wallahiusiwasikilize washakunaku na vizabizabinw,wifi yako niko hapa.
Wee ni mke wetu kabisa.
Umenchekesha sana sana ha ha ha
Oddo niokoe !
Uzi unafanywaje kuwa sticki eti wanalipiaga?
Huyu mtoa m10 wamjua?
Mwenye NGO ya watoto yatima je?
Hakyamama nafwa dadako !
Don't be so sure oh!Nilipie ili uwe sticky? ili?
Atakae nijua ni my sis Kongosho tu sababu huyu ndio alikuwa nami bega kwa bega
Nilipie ili uwe sticky? ili?
Atakae nijua ni my sis Kongosho tu sababu huyu ndio alikuwa nami bega kwa bega
Nilivyo mbea, hadi najikuta nataka kujigongea like, nimekuwaje?
We fanya bas nlivokwambia niendelee!
Kwani kumfumania bar na rum ni issue?
Lamborghini mi hata nikikikufumania kiunoni poa tu!.
Ahahahahahahahahaha watu mnafurahisha nyiiiie!
Tatizo mwanamke akijua kutafuta hela anakuwa na kiburi sijuhi ? but anyway nimemuhuliza swali anijibu nivunje huu mjadala
nipm!!