Nisamehe Rapunzel Saba mara Sabini

Nisamehe Rapunzel Saba mara Sabini

Hommie hebu niambie kwa kifupi sana. hapa wanadiskashen makitu gani kwa ujumla?

Hivi why unampa mchepuko 10m afu unakutosa tena nchi ya ugenini?

Kwa mujibu wa Kongosho hiyo ni bajeti ya baby walker moja na robo hivi.

Halafu kana kwamba haitoshi unataka ile baby come back huku ukiwa "on a bended knee"

Hivi kwani hukufunzwa dalili za mwanamke asiyekutaka akikuchoka anafanyaje?

Halafu hujanambiaga kama part time una ID hii hapa

Ndo ivo sredi liko sticky maana apa keshakuja snowhite Munkari King'asti bado Dinazarde hajastukizia tu

Ndo tunajadili apa hii haki kweli?:what::what:
 
Last edited by a moderator:
we naeeee!
Sa si unianzishie sredi in ze nemu ofu zati kipaji!
Ila uje kwa ID yako ya zamani!

hahahah!!! mi hii ID ndo ya kwanza na ya mwisho
Usihofu ila msiitane tu kuja kutoa misuto maana wapo wanaotafuta hiyo opochuniti bibie!!!
 
Tunaweza saidia ku rizovu situasheni kwa ku hack Brain ya Rapunzel.

Hivi lakini kwa nini mwanamke mwenzetu anamnyima mtoto wa mwanamke mwenzetu usingizi? Its hurts, una tishu kidogo, machozi hadi sioni skrin tena.

I know it hurts. ..but nimeyavumilia mengi ya huyu jamaa na yeye kaongopa sikumfuma na hao wanawake bar ilikuwa kwenye room yake mi sio chizi nianze kurusha makonde bar
 
I know it hurts. ..but nimeyavumilia mengi ya huyu jamaa na yeye kaongopa sikumfuma na hao wanawake bar ilikuwa kwenye room yake mi sio chizi nianze kurusha makonde bar

Ohooooo!!!! Kumbe jamaa katuingiza chaka sasa!!!
Kama vipi bibie elezea kwa upande wako ili tuweze kuunganisha mashtaka vizuri basi!!! Maana..
 
Dont get done(I swear hii ndio inglishi yangu ya mwisho, kama karata ni joker) bana, ujue kwenye miti hakuna wajenzi?

Niko bize nambembelezea mtoto wa mwanamke mwenzangu, hamna cha show off wala nini. Mapenzi yamezidi tu.

Rapue(Kifupi in romantic nomencleture), kulala selo ndio kukua, achana na hasira za kimagharibi za kulianzisha hazarani. Sie tunawapiga sana wanamme, ila kwa kifaa gani kila mtu siri yake,

Sipendi unachoniambia tena unazidi kunikera we endelea na show off zako
Am done
 
I know it hurts. ..but nimeyavumilia mengi ya huyu jamaa na yeye kaongopa sikumfuma na hao wanawake bar ilikuwa kwenye room yake mi sio chizi nianze kurusha makonde bar
We fanya bas nlivokwambia niendelee!
Kwani kumfumania bar na rum ni issue?
Lamborghini mi hata nikikikufumania kiunoni poa tu!.
Ahahahahahahahahaha watu mnafurahisha nyiiiie!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom