kbmk
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 776
- 158
Hata mbuyu ulianza kama mchicha usiogopeeee
jf:where amazing happens..
Join Date : 30th May 2014
He he he, hajui unatania unaotaniaga nao tu. Unakumbukaga siku ile? Sitakaa nirudie, naa adabu zote.
Hahahahahaha hii sikuisoma!
Mweeeee tulikuwaje vipiritoni!
Khaaaaaaaaaa ahahahahaha ila sisi kuna siku tutaduuuuuundwa !
Watatuvizia watubonde!
Ila uzuri sie wenyewe mabaunsa,ni vile tu King'asti analea,hata hivooooo hatugusi mtu weeee!
OLESAIDIMU anawaachaje sasa?
Mkuu amekwama hapa kwa dada sijui nan aghh majina yao magumu bwana! kuna muda pesa si kitu moyo unafukuta kwa mapenzi
jf:where amazing happens..
Join Date : 30th May 2014
Hahahahahaha hii sikuisoma!
Mweeeee tulikuwaje vipiritoni!
Khaaaaaaaaaa ahahahahaha ila sisi kuna siku tutaduuuuuundwa !
Watatuvizia watubonde!
Ila uzuri sie wenyewe mabaunsa,ni vile tu King'asti analea,hata hivooooo hatugusi mtu weeee!
OLESAIDIMU anawaachaje sasa?
mkuu wasikupe shida hawa jamaa na mada zao za kusadikika shule zikifunguliwa hutawasikia tena....
Hii hadithi kama ya alifu ulela ulela. Pole mkuu zungumza nae atakuelewa nasikia eti wanasemaga penye ugomvi penyeza rupia, sasa mpe hela kwa wingi uone kama ugomvi utaendelea kuwepo
Hahahahaha si anampa huyo anaemsumbua huenda tatizo ni hela nakumbuka kuna wadau husema pesa ndio kila kitu.moyo ukiumia hela haina maana. Utamu wa hela moyo uwe na amani.