Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
umeona eeeeh lamborghin usitusahau hata kukupigia kiwi viatu vyako
Mie nitakua shamba girl
Last edited by a moderator:
umeona eeeeh lamborghin usitusahau hata kukupigia kiwi viatu vyako
AAAAAAAGH WANAWAKE WAMEJAAA KIBAO BANAAA
Join Date : 30th May 2014
Napenda kutoa angalizo nimeongea
na msweet wangu nashukuru safari hii ametulia kwenye simu kutokana kuwa Yuko job tutamaliza maongezi yetu kwenye Skype usiku
Mie nitakua shamba girl
Mie nitakua shamba girl
mbele ya pesa hata ndugu zake anaweza kutukana huyuunamkana mmeo hadharani?
Napenda kutoa angalizo nimeongea
na msweet wangu nashukuru safari hii ametulia kwenye simu kutokana kuwa Yuko job tutamaliza maongezi yetu kwenye Skype usiku
labda wakupe bustani ya maua mashamba yao ni super marketi tu
Ha ha ha ha ha ha ha
Jamani mi si act na wala sikupenda yeye kuleta matatizo yetu huku
Jamani mi si act na wala sikupenda yeye kuleta matatizo yetu huku
basi msamehe mwenzio Rapunzel kakiri hadharani hata kama ni kwa fake id anastahili msamaha hakuna mkamilifu duniani mpe second chance
Hahahaa wakati Mtoto halali na hela?
hhaha leo kina mama ushauri wengi lols
hhaha leo kina mama ushauri wengi lols
Sipendi unachoniambia tena unazidi kunikera we endelea na show off zako
Am done
sasa ujue mwenzio ajapenda give her time to think usimlazimishe