Nisamehe Rapunzel Saba mara Sabini

Nisamehe Rapunzel Saba mara Sabini

mr maprosoo kama kuna second tender ya kukuombea msamaha sema au opotunity imefungwa lol

Mwenzangu mie mwenyewe sijui nimepitwaje tu.Ila tuongee nae vizuri anaweza kutupa hata mtaji wa mil.1 kila mtu
 
Ujuee mi nipo toka asbh hapa!
Nionee huruma kwa kuniambia tu we nani
Ulaya utachagua mwenyewe kama niende au la!
Naumwa hapa ujueeee,nikipima Sukari lazma haitakuwa nomo!

hahahahahahah,, Nahisi hata Lanchi leo umemisi LOL
 
Sameheaneni Bana
Halafu mwende visiwa vya mbali kwa make up mapumziko.loo
 
Deo ,hapa yako haya,mawili
Wamerge hizi two IDs au watufungulie pm!
Vinginvyo wazifungulie ID zote walizounganisha!.
Wakianza na ya Morg na Vai!
Bujibuji na Gilesi
#bringbackourmorgorgiveusourlambowazamani #


Walai wewe si mzima mwalimu dah!

Hapo kwa Gilesi na Bujibuji umenikosa...we should start a petition,lol. mpaka masabur.i yakaze hahahahaha


kama Paw ni type ya aweeee mama weeeee hapo sawa


Ahaha King'asti chunga usijekuwa unajitongozesha kwa mumeo teh teh..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom