Nisamehe Rapunzel Saba mara Sabini

Nisamehe Rapunzel Saba mara Sabini

Hahahahahahaha nazidi kuamini Jf pengine kuna member 10 tu!


Ahahaha na wewe ni Kongosho, King'asti yani zile ID chizi chizi zote zako...lol. Mwalimu nahisi leo watoto wameenda nyumbani saa sita walai!!!

Duh,, sitanii yaani kila post yako ktk hizi sredi mbili ya dada @ Vai na hii zinaniacha hoizanifanya nsibanduke hapa JF ati!!
Kazi yangu leo ni kurefresh page tu!!

"You are not alone..."

Yani mi mwenyewe nimegundua how sweeto it iz!
Jamani ruksa mtu kunifungukia hazarani!
Au sijui nijiwowe!

Cc: 7 5 mm hahahahahahahhahahahahahahahahahahahahahahahaha


Mie kwani nataka 10 mil kaka? hata mil 8 tu zinatosha, ntakupa punguzo jameni.
Afu ujue mie bado mpya mpya eeh

KWani we Morg?

Anakupenda ila lile tukio la kukukuta na wadada rum, kweli wewe bandidu ila basi tu.

Natamani akusamehe kiukweli


Jamaa alikuwa na ukame akaamua apunguzie hapo. Rappue ndo alikosea walahi.


Afadhari theboss umetia pua yako hapa kuna watu walinipm kujua kama umo kwenye list aliyoitoa Kaizer hahahaha watu roho zao wamezisha mkononi dah Jf!!!acha tu

Hapa elimination method tu ndo itafanya kazi.

I wish watu8 angepita hapa ila pia Heaven on Earth hushindwi kutueleza jambo. Tuanze na old ID ya huyu bidada.

Halafu Kaizer mbona umesahau kuwataja: KakaKiiza na Nicas Mtei (na amepotea sana hapa jukwaani, sijui ndo alikuwa mamtoni?).
 
Last edited by a moderator:
Hebu wacha kupoteza wakati, huyu Lambo ni husband material kabisa?

We cheka na nyani utavuna mabua, wanamme ndio hawahawa.

Ngoja niwahi Uda ya Buguruni Malapa, see u badae. Ila msamehe bana. Kwanza hutakuwa na kazi ya kulipia wanao twisheni, baba yao is vere intelligent, angalia tu urguments zake zilivyoshiba.

Utachagua uangukie kwa libozo, ili mtoto aelewe lazima umpashe kwenye mshumaa, sasa awe msichana nywele zinawake moto.

Usione sie tumekaa na hawa, tukifikiria fucha ya watoto? Mtoto unampeleka IST hadi la saba hajajua kuandika jina lake? Shauri lako, kuna koo zingine mtu aliyesoma sana alipata div 4 ya 32, na hapo wote wamesoma akademi, sio FM akademia?


umetia pua yako hapa kuna watu walinipm kujua kama umo kwenye list aliyoitoa Kaizer hahahaha watu roho zao wamezisha mkononi dah Jf!!!acha tu
 
Wee, mambo ya shem atabak na nani ni sawa na kusema ya unyagoni hadharani, marfuku.

Kongosho unaulizwa una passport?? Maana umelalamika ndg zako wote wapo kibaigwa haya sasa uwe wa kwanza kwenda kuiona ulaya... Ila swali la kizushi shem atabak na nan??
 
Napenda kutoa angalizo nimeongea
na msweet wangu nashukuru safari hii ametulia kwenye simu kutokana kuwa Yuko job tutamaliza maongezi yetu kwenye Skype usiku
 
Back
Top Bottom