ni mwezi mmoja sasa toka tukio litokee nillimpa muda wa kutosha
miss neddy kaliletaGunda??!! Hii kabila gani dada yng?
umeona umeonaGunda??!! Hii kabila gani dada yng?
Ila una swaga za moreen baby
Twende tu lakini!
akina The Boss Mnaolalamika hii thread kuwa sticky.. changia jf mikono mitupu halilambwi
miss neddy kalileta
Kwa mpka sasa hamjamjua ni nani? Kweli unataka utafuniwe
Hahahhah try again
Labda alilete kwenye full sentence
Napenda kutoa angalizo nimeongea
na msweet wangu nashukuru safari hii ametulia kwenye simu kutokana kuwa Yuko job tutamaliza maongezi yetu kwenye Skype usiku
Du nikweli kabisa aani humu kuna vi-Story vya ajabu ajabujf:where amazing happens..
Join Date : 30th May 2014
Jamani mi si act na wala sikupenda yeye kuleta matatizo yetu huku
Mimi mzima,sijui wewe babymzima lakin