amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,143
- 31,275
haha kumbe kuna watu wameshatuma PMs kujua ni kaka nani huyo lols
Mie mwenyewe nakupm uniambie mdada lol
haha kumbe kuna watu wameshatuma PMs kujua ni kaka nani huyo lols
Lincon I don't give a ---- about that, there is no true love my brother.
Lincon I don't give a ---- about that, there is no true love my brother.
Oddo niokoe !
Uzi unafanywaje kuwa sticki eti wanalipiaga?
Huyu mtoa m10 wamjua?
Mwenye NGO ya watoto yatima je?
Hakyamama nafwa dadako !
Ahahaha na wewe ni Kongosho, King'asti yani zile ID chizi chizi zote zako...lol. Mwalimu nahisi leo watoto wameenda nyumbani saa sita walai!!!
"You are not alone..."
Cc: 7 5 mm hahahahahahahhahahahahahahahahahahahahahahahaha
KWani we Morg?
Jamaa alikuwa na ukame akaamua apunguzie hapo. Rappue ndo alikosea walahi.
Hapa elimination method tu ndo itafanya kazi.
I wish watu8 angepita hapa ila pia Heaven on Earth hushindwi kutueleza jambo. Tuanze na old ID ya huyu bidada.
Halafu Kaizer mbona umesahau kuwataja: KakaKiiza na Nicas Mtei (na amepotea sana hapa jukwaani, sijui ndo alikuwa mamtoni?).
Kwa hiyo kwa kifupi ushamsamehe mzembe, na tunda utaendelea kumgea regardless 10m in the name of yatimaz.
Mwana roki siti mwenzangu,kuna nini kinaendelea hapa?
Malavidavi papa paroko!