Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Hahahahahahaha nazidi kuamini Jf pengine kuna member 10 tu!
Yaani angekuja na id yake anayoitumia ningeweza sema kitu hapa.
Maana ni mtu maarufu hapa mpaka wengine wanmfungulia topic za kumsifia ila kwa hili wacha libaki hivi hivi
Asingeweza kutumia Id yake sababu anajua kuwa ni kimeo ..wangelipuka watu hapa pasingekalika
Ha ha ha
Alikupa 10M?
Duuuuh!mi na wewe tu baaaasi!!!...hahaha! mtoa mada njo jibu mashtaka si unataka kusamehewa??
Makubaliano yetu yalikuwa nje ya Jf sipendi show off za kijinga na tulikubaliana hata kama tutapigana mangumi iwe out of Jf ..we umefanya nini hapa???
Yani huu ufufuko unaoendelea hapa nashindwa niupe tendo gani la imani
-nifunge
-nitoe sad aka
-nisome litrujia
Au nihudumie yatima!?
Selewiiiiiii!
Niitie Kaizer
Duuuuh!
Ujuee najaribu kuwaza mkaka yupi anafunguliwa mpk sredi,af maarufu maaruf hiv!
Ndrukiiiiiiiiiiii .
Ila ngoja kwanza nani aliwahi kukuja na sredi ya watoto yatima na charity sijui!.
Thiiiiiiiiink Munkari thiiiiiink!.
Umbea utaniua huu yaillahi!
Natamani kweli kuacha kuwaza ila mawazo hayaondokiii ujuee!
Duuuuh!
Ujuee najaribu kuwaza mkaka yupi anafunguliwa mpk sredi,af maarufu maaruf hiv!
Ndrukiiiiiiiiiiii .
Ila ngoja kwanza nani aliwahi kukuja na sredi ya watoto yatima na charity sijui!.
Thiiiiiiiiink Munkari thiiiiiink!.
Umbea utaniua huu yaillahi!
Natamani kweli kuacha kuwaza ila mawazo hayaondokiii ujuee!