mkabasia
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 3,038
- 2,740
Hivi huna mtu huko Manhattan atuangalizie mtz gani kalala sero recently?
Mie ndugu zangu wote wako Kibaigwa na Kongwa, daym!
Hahahahahaha, nimecheka sina hamu.
Hivi huna mtu huko Manhattan atuangalizie mtz gani kalala sero recently?
Mie ndugu zangu wote wako Kibaigwa na Kongwa, daym!
Nilivyo mbea, hadi najikuta nataka kujigongea like, nimekuwaje?
Ohooooo!!!! Kumbe jamaa katuingiza chaka sasa!!!
Kama vipi bibie elezea kwa upande wako ili tuweze kuunganisha mashtaka vizuri basi!!! Maana..
Sipendi unachoniambia tena unazidi kunikera we endelea na show off zako
Am done
We kwanini hutumii majinayako halisi?
Ok napenda kujua kitu kimoja toka kwako Je bado unanipenda? nijibu Hilo tu
Uwiiiii, sasa wewe hapa tunajenga au tunabomoa?
Mwache Rapue alie in anger, afu baby come back Lambogini ndio ajiongeze hadi kachanga.
Off course I do (In tears), opps kumbe mie sio Rappie.
Hivi why unampa mchepuko 10m afu unakutosa tena nchi ya ugenini?
Kwa mujibu wa Kongosho hiyo ni bajeti ya baby walker moja na robo hivi.
Halafu kana kwamba haitoshi unataka ile baby come back huku ukiwa "on a bended knee"
Hivi kwani hukufunzwa dalili za mwanamke asiyekutaka akikuchoka anafanyaje?
Halafu hujanambiaga kama part time una ID hii hapa
Ndo ivo sredi liko sticky maana apa keshakuja snowhite Munkari King'asti bado Dinazarde hajastukizia tu
Ndo tunajadili apa hii haki kweli?:what::what:
We fanya bas nlivokwambia niendelee!
Kwani kumfumania bar na rum ni issue?
Lamborghini mi hata nikikikufumania kiunoni poa tu!.
Ahahahahahahahahaha watu mnafurahisha nyiiiie!
kwa mujibu wa kanuni za chama, huyu mzembe hafai hata kufagia ofisi ya mesenja wala kudeki choo cha wanawake....
Mwalimu wetu snowhite leo hajaja darasani, yawezekana akawa kwenye kitchen party ya huyu mwenye bahati ya 10m?
Ok napenda kujua kitu kimoja toka kwako Je bado unanipenda? nijibu Hilo tu
I know it hurts. ..but nimeyavumilia mengi ya huyu jamaa na yeye kaongopa sikumfuma na hao wanawake bar ilikuwa kwenye room yake mi sio chizi nianze kurusha makonde bar
Off course I do (In tears), opps kumbe mie sio Rappie.
Mie mwenyewe natamani hilo zali lingeniangukia mimi duh watu wana bahati