Nisaidieni, upendo unapungua kwa mume wangu

Uchoyo nimeona hata dada zake wako hivo nafikiri ni trait ya kuridhi
 
Amen dear nashukuru kwa ushauri
 
Ahsante dear
 
Angalia usiwe kama MAMA DAVIS wa cocochanel na Naipenda Jumatano Yangu yake. Nakuhurumia maana Mama Karisa anakaribia kukutafutia Fadhili akufadhili. Ndiyo akufadhili Ub.oo, Mahaba na Fwedha.

Nimesema!
Bazazi
 
Angalia kuna uwezekano amekosa imani na wewe labda ulimsaliti au kuna viashiria vya usaliti au labda wewe ni kiburi ama ulionesha dharau na kutomuheshimu. Kama kipo kimojawapo wanaume tunapoteza upendo kwa mwanamke
Hapana kiufupi hata baadhi ya baba zake wakubwa kwa wadogo wana hizo tabia,watatu walishaachana na wake zao wa mwanzo ,mmoja nilimkuta wakati naolewa alinisimulia mengi sana akasema ukoo wao yaani wa mume wake ( ambae mimi ni baba mkwe wangu mdogo) akasema wana roho ya kikatili baba yake alishamuuaga mke wake wa kwanza kwa kumpiga na kamche ka kutwangia karanga yaani yaani babu
 
Angalia usiwe kama MAMA DAVIS wa cocochanel na Naipenda Jumatano Yangu yake. Nakuhurumia maana Mama Karisa anakaribia kukutafutia Fadhili akufadhili. Ndiyo akufadhili Ub.oo, Mahaba na Fwedha.

Nimesema!
Bazazi

Ngoja nimpatie link akasome ushauri wa Tilda anaompa mama Davis


Nimesoma post yake moja miss_mbeya anajitetea hadi kutumia mifano ya ndugu ambao yao ni yao na yake yaweza kuwa tofauti nao kabisa. Aibu sana mwanamke kuishi kukaribisha au kusala udaku kwa kukaribisha nguvu za giza mwenyewe.. huyu hajitambui kwa sasa.. anaweka watu mbele na labda mchepuko kuliko yeye na mwenza na mtoto na furaha yao..
 
Ahsante mpenzi nitaifuatilia uweenda inaweza nisaidia kwa kiasi fulani
 
Ahsante mpenzi nitaifuatilia uweenda inaweza nisaidia kwa kiasi fulani

Tutag kutupa mrejesho.
Kila la kheri.. muhimu hapo ulipo acha kufikiria hao hao wasio wewe na mumeo.. anza kutulia na kuongea na kuomba na Mwenyezi Mungu.
Usikimbilie kwa watu.. tulia endelea n.k.
 
Kwa hatua ya kwanza mshirikishe ndugu yake wa karibu ajaribu kumuelimisha kuhusu anayofanya lkn pia yaweza kuwa ana mchepuko ambao akili nyingi amewekeza kwake kitu kinachomfanya akuone ww si kitu zaidi ya mwanaye,ikishindikana km ndio na kipigo juu asije akakudhuru mwisho ukashindwa hata kulea wanao chukua hatua mapema

Issue nyingine umesema ww ni mama kijacho huenda hiyo hali yako pia imesababisha msipendane subiri kwanza ujifungue maana ujauzito muda mwingine unakuja na changamoto zake
 
Daah mumeo mbinafsi sana miss, lakini haya yote hukuyajua kipindi cha uchumba?
 
 
mama kwani umepigiliwa misumali hapo.?
ndoa ya mateso sio ndoa. Usisikilize Yale maneno wazee wamevumilia mengi.
Atakuua huyo
 
Aisee sina nia mbaya ila tu kwa ustawi wako wa akili na afya ningependa tu ikibidi umteme tu huyo jamaa kama unajimudu.
Kwa stage iliofikia huyo jamaa hashindwi kukacha kulipia drip au dawa when you reach a state of emergency.
 
Pole kwa mkasa unaokusibu katika maisha always kuna pande mbili kama ilivyoshilingi. Na kama ni mumeo na mlifunga ndoa kanisani kuna haja ya kumlilia bwana, jaribu kuomba ushauri hata kene mabaraza ya watu wazma, ikiwemo hata watamushi wa kiroho, hyo grieving period ya kuhusu wazaz wake yawezekana ni kifungo alichonacho na inahitaji msaada wa kiroho au wakisaikolojia kwamana sio normal situation as it is. Wana JF weng wanasema either uondoke that is not a solution ulishajenga mji huwez kuukimbia kisa umeona panya ndani ya nyumba yamkini utaondoka hapo utaenda kwingine ambako mwanaume harud hata nyumban. Hio ndo mitihani ya ndoa na changamoto zake eb ona umekutana na kashkash lakin still umebeba mimba nyingine that means there is a happy hour too. Uvumilivu, sala, ibada, utii ndo mkombozi wako n never the less.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…