Engager
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 1,274
- 2,648
Mama/Baba yako anakupenda tu kwa sababu wewe ni mwanae. Alikuzaa, umekuwa anakuona, mmekuwa na bond ya muda mrefu.
Kaka na dada zako wanakupenda tu kwasababu wewe ni ndugu yao. Mmezaliwa pamoja. Mmekua pamoja.
Lakini kuna huyu mwanaume. Mume wako. Ulishawahi kujiuliza kwanini anakupenda kiasi hicho?
Sijui mlikutana wapi, ila hadi akachukua jukumu la kuja kwenu kukuomba kwa wazazi wako, akatoa mahari akakuleta kwake na sasa anaishi na wewe.
Anajitahidi kadri ya uwezo wake usipate taabu, anapenda kukuona ukiwa na furaha muda wote hata akikukosea anajishusha ili tu uwe na furaha. Pamoja naushenzi wako wote ila anakuvumilia, hataki kukupoteza.
Ulisha wahi kujiuliza wewe ni nani hasa kwake? Ni kitu gani special unampatia kiasi cha kumpa sababu ya kukupa wewe thamani kubwa hivyo katika maisha yake? Labda sex? Lakini unadhani hangeweza kupata sex bila wewe? Unadhani pamoja na uwepo wako katika maisha yake hapati sex huko nje?
Tuseme labda anafanya hivo sababu umemzalia watoto? Hapana, watoto wamekuja baadae sana. Wamemkuta akiwa anakupenda hivohivo.
Kwahiyo ukiangalia ki undani, utagundua mume wako anakupenda bila sababu. And that's what true love is. Na siku ukifa, ni yeye ndiye ataumia zaidi kuliko mtu mwingine yeyote.
Mtasema the vice-versa is true. Ila hapana. Mwanamke anampenda mume sababu anaprovide something. Anahudumia. Mume ukishindwa kuhudumia, mapenzi ya mkeo kwako will gradually fade out and eventually disapear. Siku moja tu utatoka kwenye mihangaiko ukute kaleta fuso, kabeba kila kitu ndani kaondoka zake.
Kaka na dada zako wanakupenda tu kwasababu wewe ni ndugu yao. Mmezaliwa pamoja. Mmekua pamoja.
Lakini kuna huyu mwanaume. Mume wako. Ulishawahi kujiuliza kwanini anakupenda kiasi hicho?
Sijui mlikutana wapi, ila hadi akachukua jukumu la kuja kwenu kukuomba kwa wazazi wako, akatoa mahari akakuleta kwake na sasa anaishi na wewe.
Anajitahidi kadri ya uwezo wake usipate taabu, anapenda kukuona ukiwa na furaha muda wote hata akikukosea anajishusha ili tu uwe na furaha. Pamoja naushenzi wako wote ila anakuvumilia, hataki kukupoteza.
Ulisha wahi kujiuliza wewe ni nani hasa kwake? Ni kitu gani special unampatia kiasi cha kumpa sababu ya kukupa wewe thamani kubwa hivyo katika maisha yake? Labda sex? Lakini unadhani hangeweza kupata sex bila wewe? Unadhani pamoja na uwepo wako katika maisha yake hapati sex huko nje?
Tuseme labda anafanya hivo sababu umemzalia watoto? Hapana, watoto wamekuja baadae sana. Wamemkuta akiwa anakupenda hivohivo.
Kwahiyo ukiangalia ki undani, utagundua mume wako anakupenda bila sababu. And that's what true love is. Na siku ukifa, ni yeye ndiye ataumia zaidi kuliko mtu mwingine yeyote.
Mtasema the vice-versa is true. Ila hapana. Mwanamke anampenda mume sababu anaprovide something. Anahudumia. Mume ukishindwa kuhudumia, mapenzi ya mkeo kwako will gradually fade out and eventually disapear. Siku moja tu utatoka kwenye mihangaiko ukute kaleta fuso, kabeba kila kitu ndani kaondoka zake.