ISLETS
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 8,121
- 5,332
Inaonesha ulikuwa na hamu sana ya kuolewa pasipo kufahamu unaolewa na mtu wa namna gani. Hapo vumilia tu hata ikibidi sali na kufunga kwa ajili yake.Nashukuru dear kwa ushauri ingawa ni mama kijacho ,yaani kazini walikataa kunilipia masomo ya master ,ada ilikuwa milioni kama milioni kumi na tano hivi pamoja na research nililipa kama milioni 13,000,000 hivi sasa ikabaki milioni 3 nikamwomba akakataa kunipa ikabidi nikamkopa coz bank nilikuwa najua ana sh.ngapi akanipa baada ya miezi 3 alikuwa ananidai mpaka nikitoka kazini nakosa raha ya kurudi Nyumbani ,ikabidi niingie bank nikope nimrudishie ndo tukawa na amani but roho inaniuma coz kaenda kuweka bank,