miss_mbeya
JF-Expert Member
- Mar 24, 2015
- 1,073
- 1,021
- Thread starter
- #341
Amen dear ,I will doNa saa nyingine baadhi ya makanisa huko ndo Kuna umbea utajikuta story zako wanazo waumini...... Mamiii mlilie Mungu kajiunge na prayer marathon kabla it's too late yaan uyo mume mbona utashangaa kajiunge embu Mimi nasubiri ushuhuda wako kabla huu mwaka haujaisha
Safi kabisa huyo Ni dagaa kauzu na wewe njoo na sangala umtafune mbele yake mpaka aishe usiache hata kichwaNo kipindi tupo uchumba hakuwa anaonyesha hizo tabia,tulipofunga ndoa baada ya miezi kadhaa ndo nikawa nashangaa baadhi ya tabia ,mfano anaweza kufunga samaki mzima sato kama kulikuwa na kifunction kazini ,but akija nampashia kwa oven anakula pekee yake anamaliza namwangalia ,
Haha haha anakubania labda kuna kapata mutoto muzuri anaikosha nafsi yakeHatuna outing dear tangu nimeolewa .Tunafanyakazi mjini si mbali sana na ofisini kwao naweza nikampigia mchana twende tukale nikupe ofa(namtania kidogo) anaona eti nachezea pesa ,sina art ya kutunza pesa.
Wewe acha kumpotosha mwenzako unataka awe single mother kama wewe muulize yeye anamapungufu gani kwa mumewe usikute sio mwaminifuMumeo ni mmoja wa wale wanaume selfish,uamuzi ni wako kukaa nae au kuachana nae.....mie nakushauri uachane nae bado mapema ukiamua kubaki ujue unatoa sadaka furaha yako...na utabaki miserable for the rest of your life........................
Kuhusu wazazi,nahisi hakupata muda mzuri wa kukubali wamekufa(grieving period)...saa zote ana feel guilty and puzzled kuhusu kifo chao...au anaona wamekufa mapema kabla hajawahudumia kama zawadi ya kumlea......
Kwa kifupi ameyabeba mengi kifuani,ndio maana ukimuudhi kidogo ana snap,dada huyo ni bomu...ondoka kabla hujazaa mtoto wa pili na watatu halafu ushindwe ku move on.
Ni muda kidogo toka umeleta bandiko lako dada...Hajaonyesha dalili yoyote ya kubadilika???