Hongera kwa ndoa.Nashukuru dear kwa ushauri ingawa ni mama kijacho ,yaani kazini walikataa kunilipia masomo ya master ,ada ilikuwa milioni kama milioni kumi na tano hivi pamoja na research nililipa kama milioni 13,000,000 hivi sasa ikabaki milioni 3 nikamwomba akakataa kunipa ikabidi nikamkopa coz bank nilikuwa najua ana sh.ngapi akanipa baada ya miezi 3 alikuwa ananidai mpaka nikitoka kazini nakosa raha ya kurudi Nyumbani ,ikabidi niingie bank nikope nimrudishie ndo tukawa na amani but roho inaniuma coz kaenda kuweka bank,
35Samahani we una umri gani?
Amina my Mpendwa ,barikiwa kwa ushauri wa kunitia moyoDada, angu nakushauri usimuache, hakuna mtu asieweza kubadirika, nakushauri ijumaa ya kila wiki ikifika funga maombi, afu baada ya chakula cha jioni uwe na tabia ya kuomba nae, na kuna baadhi ya siku umwambie unamuombea yeye, Mungu amsaidie.. Unataja mahitaji yoote, epuka kuona mahitaji ya upande mmoja, taja na ya kwako...
NB: Mungu ni pendo, akimpenda Mungu na akapenda maombi atakupenda tu, lkn asipotaka maombi ndani ujue shetani kaingia katika familia yako, kazi itakua sio kumuombea mumeo tena bali ni kupambana na shetani. Mungu akusaidie.
Sijakuelewa my dear hapoKuna wanawake wana wafurushi acha tu
Huwezi kunielewa mama.Sijakuelewa my dear hapo
Nashukuru dear kwa ushauri ingawa ni mama kijacho ,yaani kazini walikataa kunilipia masomo ya master ,ada ilikuwa milioni kama milioni kumi na tano hivi pamoja na research nililipa kama milioni 13,000,000 hivi sasa ikabaki milioni 3 nikamwomba akakataa kunipa ikabidi nikamkopa coz bank nilikuwa najua ana sh.ngapi akanipa baada ya miezi 3 alikuwa ananidai mpaka nikitoka kazini nakosa raha ya kurudi Nyumbani ,ikabidi niingie bank nikope nimrudishie ndo tukawa na amani but roho inaniuma coz kaenda kuweka bank,
I was joking u, mtegee Mungu muombee sana ili abadilishe mtazamo wake, me kwa imani yangu naamini mke nibadala yawazi wangu so hapo wewe ndio inabidi akuchukulie kama ndio nguzo yake baada yamunguHapana my dear ,
Huu ushauri ushindwe kwajina layesumumeo ni mmoja wa wale wanaume selfish,uamuzi ni wako kukaa nae au kuachana nae.....mie nakushauri uachane nae bado mapema ukiamua kubaki ujue unatoa sadaka furaha yako...na utabaki miserable for the rest of your life........................
Kuhusu wazazi,nahisi hakupata muda mzuri wa kukubali wamekufa(grieving period)...saa zote ana feel guilty and puzzled kuhusu kifo chao...au anaona wamekufa mapema kabla hajawahudumia kama zawadi ya kumlea......
kwa kifupi ameyabeba mengi kifuani,ndio maana ukimuudhi kidogo ana snap,dada huyo ni bomu...ondoka kabla hujazaa mtoto wa pili na watatu halafu ushindwe ku move on.
Duh mazito haya aiseeeeNashukuru dear kwa ushauri ingawa ni mama kijacho ,yaani kazini walikataa kunilipia masomo ya master ,ada ilikuwa milioni kama milioni kumi na tano hivi pamoja na research nililipa kama milioni 13,000,000 hivi sasa ikabaki milioni 3 nikamwomba akakataa kunipa ikabidi nikamkopa coz bank nilikuwa najua ana sh.ngapi akanipa baada ya miezi 3 alikuwa ananidai mpaka nikitoka kazini nakosa raha ya kurudi Nyumbani ,ikabidi niingie bank nikope nimrudishie ndo tukawa na amani but roho inaniuma coz kaenda kuweka bank,
Jaribu kumfanya ampende sana mungu ukifanikiwa hill basis tatizo lako limekwisha atabadilika tuSijakuelewa my dear hapo
Duh huyu sijui kabila gani aiseeeeNo kipindi tupo uchumba hakuwa anaonyesha hizo tabia,tulipofunga ndoa baada ya miezi kadhaa ndo nikawa nashangaa baadhi ya tabia ,mfano anaweza kufunga samaki mzima sato kama kulikuwa na kifunction kazini ,but akija nampashia kwa oven anakula pekee yake anamaliza namwangalia ,
AmenJaribu kumfanya ampende sana mungu ukifanikiwa hill basis tatizo lako limekwisha atabadilika tu
Amen ,my dear naendelea kumpigia Bwana Yesu magoti ,ni mengi but hayo tu ni machachePole, iko njia
Umeolewa ukiwa na umri gani na Unawatoto wangap na wanaumri gani? Samahani lakini nikatika kutaka kukupa ushauriAhsante my dear barikiwa
Duh Rebecca kumbe upo Sawa aiseeeeHuu ushauri ushindwe kwajina layesu
Amen barikiwaPole Sana aisee mkuu nimepitia comments zako ndio nimegundua hali unayoipitia