Nisaidieni, upendo unapungua kwa mume wangu

Hongera kwa ndoa.
 
Amina my Mpendwa ,barikiwa kwa ushauri wa kunitia moyo
 
Mpaka Sasa Hivi Inaonekana Maji Yamezidi Unga
Utavumilia Nini Hapo, Anza Kujiongeza Taratibu
Maana Hali Siyo Shwari
 
Wewe na mumeo hamjui maana ya ndoa, pole
 
Huu ushauri ushindwe kwajina layesu
 
Duh mazito haya aiseeee
 
Duh huyu sijui kabila gani aiseeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…