Pdidy
Platinum Member
- Nov 22, 2007
- 61,758
- 37,930
mkuu kwangu kwa maana familia yangu ipo huku...mke na watoto wawili[/QUOT
dah aponeemaya Mungu. iwafunikempwa
Maombiyangu
mkuu kwangu kwa maana familia yangu ipo huku...mke na watoto wawili[/QUOT
dah aponeemaya Mungu. iwafunikempwa
Maombiyangu
mwambiemamakoku kaanzakujengakaka bongo utapeweza tu mifursa kibao ni wewe tu ushindwe, ila wabongo mlioko south mmezid kujisahau we miaka kumi yote kama kwenu bora yetu sisi wa nchumbiji nikipata usd 1000 nusu naenda kujenga tz nyingine naongeza mradi huko
kaka bongo utapeweza tu mifursa kibao ni wewe tu ushindwe, ila wabongo mlioko south mmezid kujisahau we miaka kumi yote kama kwenu bora yetu sisi wa nchumbiji nikipata usd 1000 nusu naenda kujenga tz nyingine naongeza mradi huko
Hizi vurugu zitasambaa miji yote mikubwa ya SA ni suala la muda tu.
So jiandaeni kabisa hata wale wa miji mingine.
Poleni sana aisee.
no mkuu nina nyumba bongo ipo kibada ila huku ndio biashara zangu zilipochanganya na mke wangu pia ni msouth africa na watoto pia na tabia za watu wa nchi hii sio rahisi kumshawishi kwenda kuhishi nje ya nchi yake tena nchi yenyewe ikiwa kama Tanzania...ndio maana nimeng'ang'ania ndani ya nchi hii ili wanangu wakue kue nirudi nao nyumbani siwezi kumuachia huyu mwanamke hawa sio waleaji wazuri
Sio wabongo wa South tu kaka, wabongo wote tulioko nje ya nchi inatakiwa tusijisahau hata kama tuna mikwaju yao na uraia wa huko na familia pia, muhimu kujenga nyumbani hata kama ni kakibanda tu ka kufikia tusijipwelepwete kama huko ni kwetu...East West HOME is the Best!!!!kaka bongo utapeweza tu mifursa kibao ni wewe tu ushindwe, ila wabongo mlioko south mmezid kujisahau we miaka kumi yote kama kwenu bora yetu sisi wa nchumbiji nikipata usd 1000 nusu naenda kujenga tz nyingine naongeza mradi huko
Fuata huu ushauri Mkuu anza na ubalozini uone watakusaidiaje kama hawana msaada basi jaribu polisi, uwe muangalifu Mkuu jamaa hawana simile. Kama hutajali ukifika salama Cape Town njoo ulifahamishe jamvi.
Ndio Mkuu
Hivi huyo mkeo hana support yoyote ya wewe kutoka?
Unakaaje miaka 10 bila kufika kwenu?
no mkuu nina nyumba bongo ipo kibada ila huku ndio biashara zangu zilipochanganya na mke wangu pia ni msouth africa na watoto pia na tabia za watu wa nchi hii sio rahisi kumshawishi kwenda kuhishi nje ya nchi yake tena nchi yenyewe ikiwa kama Tanzania...ndio maana nimeng'ang'ania ndani ya nchi hii ili wanangu wakue kue nirudi nao nyumbani siwezi kumuachia huyu mwanamke hawa sio waleaji wazuri
J'burg niijuayo mimi kuna mobile court twenty four hours in almost part of the city. Na jiji hili lilivyo linazidi majiji mengi tu ya Ulaya (kwa uzuri na infrastructure). Police ni wa kumwaga,blacks, indians, whites etc kwa nini mleta mada asijisalimishe kwa hawa?
Nafikiri unyama unafanyika kwa wazamiaji.
Wapigie police uombe msaada au ubalozi wa Tz!
nadhani zitakuwepo pia mkuu...nipo ndani tu sina taarifa nyingi za huko nje zaidi ya kusikia makelele na moshi wa matahiri yanayochomwa...ila fujo zilianzia pale Mtn tax rank na kusambaa mitaa yote hii
dah pole sana ila kiukweli mnahali ngumu sana, inabid mfikirie mara mbili2. nyumban ni nyumban tu hata sisi tumenyanganywa sana usd na askari wa moz na hicho ndo kilichonistua, nilipotaka oa nilirud zangu bongo nikavuta kitu, inakua ni kazi ya kutuma pesa miradi inaendelea ila atleast mara moja kwa mwezi unamcheck baby. karibu bongo dili sasa ni misosi tu