Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
wengi Tunaufatilia Mjadala wa mahakama ya kadhi kupitia magazeti yetu na redio zetu.
Tz Daima, Mwanahalisi, Mwananchi,Majira,Habarileo, Raiamwema na redio kama vile tbc1 na nyengine nyingi. Lakini hadi leo tangu sakata hili lianze tena Bungeni sijasikia wala kuona habari hiyo katika nipashe na kulikoni. sababu za msingi bado sijazijua lkn waandishi na watangazaji wa vyombo hivyo wakifuatilia karibu habari hizo katika conference pale kinondoni Bakwata na Bungeni na hata katika vyanzo vyengine. Jee kulikoni ukimya huo kwani swala sensitive? Kulikoni wakuu.
mzee wa hojanatoa hoja
Tz Daima, Mwanahalisi, Mwananchi,Majira,Habarileo, Raiamwema na redio kama vile tbc1 na nyengine nyingi. Lakini hadi leo tangu sakata hili lianze tena Bungeni sijasikia wala kuona habari hiyo katika nipashe na kulikoni. sababu za msingi bado sijazijua lkn waandishi na watangazaji wa vyombo hivyo wakifuatilia karibu habari hizo katika conference pale kinondoni Bakwata na Bungeni na hata katika vyanzo vyengine. Jee kulikoni ukimya huo kwani swala sensitive? Kulikoni wakuu.
mzee wa hojanatoa hoja