Ninunue HP au dell

e04a918598d7c7b7fe39ee3047df03ad.jpg


Wakuu ahsanteni kwa ushauri wenu

Niliamua kuchukua Dell

Ram yake 4.00 GB
Operating system ni 64 bit

Ila kuna jamaa kaniwekea window10 mi nilikuwa nataka window 7

Kaniboa kweli nimemchana

Vipi wakuu mliowahi kutumia window 10 mnijuze mi nimezoea window 7
Iko fresh. Ni nzuri kuliko window 7. Usiogope vitu vipya. Ukiizoea utamfuata jamaa kumuomba msamaha
 
Asante mkuu,we kweli umeiva

Ila hakuna risk kubadilisha?


-ram 2GB ni shilingi 15,000 hadi 20,000
-hard disk 1TB ni shilingi 100,000 hadi 130,000

hivyo kama laptop ina 4GB ram na HDD 500GB unaweza ukaiongeza ikawa na 6GB ram na 1TB kwa kiasi hapo juu.

unachomoa tu vya zamani na kueka vipya.
 
Asante mkuu,we kweli umeiva

Ila hakuna risk kubadilisha?
kwa ram risk ni ndogo sana ram nyingi ni imara. kwa HDD kama utapata ambayo sio nzuri inaweza kusumbua.

na uzuri wa ram ni kwamba ina slot mbili, hivyo ukisikia mashine ina ram 4GB ujue ni ram moja ya 4GB na kuna slot nyengine inakuwa empty kama utataka kuongeza.
 
Heshima kwako comrade km nikitaka kubadilisha nitakupa kazi iyo wewe

Heshima mkuu

kwa ram risk ni ndogo sana ram nyingi ni imara. kwa HDD kama utapata ambayo sio nzuri inaweza kusumbua.

na uzuri wa ram ni kwamba ina slot mbili, hivyo ukisikia mashine ina ram 4GB ujue ni ram moja ya 4GB na kuna slot nyengine inakuwa empty kama utataka kuongeza.
 
kwa ram risk ni ndogo sana ram nyingi ni imara. kwa HDD kama utapata ambayo sio nzuri inaweza kusumbua.

na uzuri wa ram ni kwamba ina slot mbili, hivyo ukisikia mashine ina ram 4GB ujue ni ram moja ya 4GB na kuna slot nyengine inakuwa empty kama utataka kuongeza.


ELIMU YA KUTOSHA CHIEF...HESHIMA KWAKO.
 
-ram 2GB ni shilingi 15,000 hadi 20,000
-hard disk 1TB ni shilingi 100,000 hadi 130,000

hivyo kama laptop ina 4GB ram na HDD 500GB unaweza ukaiongeza ikawa na 6GB ram na 1TB kwa kiasi hapo juu.

unachomoa tu vya zamani na kueka vipya.
Mkuu hiyo hard disk ya 1TB nitaweza kuipata kwako mkuu....
 
Wakuu naombeni msaada

Weekend hii nataka ninunue PC

Nina laki tano mfukoni

Je kwa laki tano bidhaa gani bora nitapata kati ya HP au dell

Msaada wenu Tafadhali
Dell ni common na user support inapatikana kwa urahisi.

Hp ni ngumu (hardware), durable. Tatizo technical support haiko rafiki kwa mafundi wengi lakini pia haiko compatible na software zilizo nyingi. Kwa maana kwamba unahitaji drivers nyingi kwa kila component
 
Wakuu naomba kujuzwa kwa hili nina laptop aina ya HP probook 4431s wakati nainunua mwaka 2011 ili ina 640 GB hard disk na ilikuwa na window 7, nikawa nabadili window kila ikiwekwa window ikawa ina miss drivers ikabidi niweke window 8 ,sasa ninashangaa laptop inakuwa na 596 GB hard disk ,nawezaje kuirudisha ile 640 GB??? Nahitaji msaada wenu ndugu zangu
 
Dell latitude d630 inawaka lakin kioo hakionyeshi kitu!! Nini tatzo?

Hata nkitumia vga cable kuunganisha na monitor ya desktop bado haionyeshi.
 
Back
Top Bottom