Ninunue HP au dell

Mkuu nilifikri kila kampun inastaili yake

cha muhimu ni kilichomo ndani, haisaidii ukiwa na laptop ya HP au DELL halafu ndani ina specification ndogo.

kuhusu kuharibika, zote zinaharibika cha muhimu uwe tu na warranty ikizingua unairudisha.

huwa kikawaida laptop karibia zote zinafanana vitu vya ndani sababu watengenezaji ni hao hao.
 
Nashukuru mkuu so haina haja ya kuangalia aina ya brand?

Cha msingi search kwenye laptop unayotaka kununua angalia specificationa bila kujali ni dell au hp ama lenovo, Njia rahisi ni kuminya ile button ya start / window then search hili neno DXDIAG Anza kucheki ipi iko poa, Ukiona umechanganyikiwa wewe orodhesha specs ziweke humu tukudadavulue...Cha msingi nakushauri ucheki processor na ussishie tu kucheki kwamba ni core i3, i5 au i7...andika na model kabisa mfani core i5 6500u, core i5 7200u, .n.k
 
Ahsante mkuu but ungeniambia na specification zake

Nunue dell mkuu HP kimeo cha maana. Au nunua Toshiba mkuu hutajutia Matumizi ya fedha yako. Nilinunua Toshiba nikiwa chuo 2011 hadi leo ipo poa sana haina tatizo lolote.
 
Nakumbuka mwaka 2012 nlinunua lenovo na kuztupilia mbali dell na hp, Hii bi kwa sababu nlikuta lenovo yenye specification nzuri sana kupita dell na hp zilizokua dikani, Ile mashine mpaka leo inadunda na nimempa dogo, ile pc inakaa chaji kinoma maana prosesa yake inatumia umeme mdogo sana

Kwa sasa nmenunua Hp kwa sababu duka nililoenda hio hp ilikuwa na na specifications za juu kuliko brand nyingine.

kigezo angalia speciifications tu, Ukicheki jina utalizwa tu
 
Mkuu lenovo mi sijawahi fikiria kutumia.kwa sabab inaweza kujizima bila hata kuguswa

Nakumbuka mwaka 2012 nlinunua lenovo na kuztupilia mbali dell na hp, Hii bi kwa sababu nlikuta lenovo yenye specification nzuri sana kupita dell na hp zilizokua dikani, Ile mashine mpaka leo inadunda na nimempa dogo, ile pc inakaa chaji kinoma maana prosesa yake inatumia umeme mdogo sana

Kwa sasa nmenunua Hp kwa sababu duka nililoenda hio hp ilikuwa na na specifications za juu kuliko brand nyingine.

kigezo angalia speciifications tu, Ukicheki jina utalizwa tu
 
kama bado hujapata nna HP 8440 i5 m520 @ 2.40 ghz hdd 500 chaji 1hr.......fixed 380
 
Mkuuu vitu haviwezi fanana durability.
vitu vingi ndani ya laptop vinadumu miaka 10 na zaidi.
-cpu miaka 20 hadi 30
-ram nayo 20+
-HDD miaka kama 4 na kuendelea
-same kwenye motherboard zinakaa miaka na miaka

nenda maduka used zile laptop baadhi ni za miaka 10 na kuendelea, mfano angalia core 2 duo
-cpu ya mwisho ya core 2 imetoka 2010.
-cpu ya mwanzo imetoka 2006

hivyo unapoona laptop ya core 2 duo au quad inamaana ina miaka 7 hadi 11, hivi ni vitu vya kawaida kwenye computer kudumu hivyo.

kitu cha kuogopa kwenye laptop ni power supply aka adapter, ikizingua tu hio au ukitumia ambayo ni mbaya na umeme wetu huu wa bongo ujue una risk ya kuunguza vilivyomo ndani,

pia usipofuata maelekezo mengine vizuri kama vile kuziba feni hewa isiingie vizuri, kuacha iingie maji au hali ya hewa pia inaweza sababisha isidumu muda mrefu.
 
489965904771471f187f021227f49ffb.jpg

Hzi core nashindwaga zielewa mfano hyo hapo ndo core ngapi?
 
cha muhimu ni kilichomo ndani, haisaidii ukiwa na laptop ya HP au DELL halafu ndani ina specification ndogo.

kuhusu kuharibika, zote zinaharibika cha muhimu uwe tu na warranty ikizingua unairudisha.

huwa kikawaida laptop karibia zote zinafanana vitu vya ndani sababu watengenezaji ni hao hao.
mtengenezaji mkubwa wa processor za computer ni INTEL. Karibu aslimia sabini ya processor zinatengenezwa na Intel. Hawa kina Dell , HP and others wao wanatengeneza vikorokoro vilivyobakia...
 
PC ni matunzo na jinsi unavyoitumia.
Kwangu mimi nje ya HP ntanunua Macbook Pro tu.
HP naziaminia sana na hazijawahi niangusha hata siku moja.
Computer yangu ya kwanza ilikuwa HP-Compaq. Ilikuwa ile ya chogo na ilikuwa pentium 1. Kuwaka ilikuwa inachukua dk tano... That is twelve years ago!
 
mtengenezaji mkubwa wa processor za computer ni INTEL. Karibu aslimia sabini ya processor zinatengenezwa na Intel. Hawa kina Dell , HP and others wao wanatengeneza vikorokoro vilivyobakia...
hata hivyo vikoro koro vingi pia hawatengezi, kuna kina texas instrument, samsung, kingstone, sandisk, western digital etc. pc zime mature sana kila mtu anaweza akatengeneza yake unless unataka kutengeneza tablet pc au ultrabook ndio utashindwa kwenye design.
 
Cha msingi search kwenye laptop unayotaka kununua angalia specificationa bila kujali ni dell au hp ama lenovo, Njia rahisi ni kuminya ile button ya start / window then search hili neno DXDIAG Anza kucheki ipi iko poa, Ukiona umechanganyikiwa wewe orodhesha specs ziweke humu tukudadavulue...Cha msingi nakushauri ucheki processor na ussishie tu kucheki kwamba ni core i3, i5 au i7...andika na model kabisa mfani core i5 6500u, core i5 7200u, .n.k
Mkuu naomba tafsiri ya Maelezo haya kwani kuna laptop nimeinunua juzi na bado ipo ndani ya warranty nikaambiwa kama sijaridhika nayo naweza kuirudisha. Sasa uliposema masuala ya DXDIAG nami nikafanya ila kitaalamu maana ya information hizi sijui. Maelezo ni kama ifuatavyo. Kitakachomiss utasema niongeze au kufanya marekebisho na mwisho naomba ushauri kama yafaa au laah! Nimenunua kwa ajili ya kuandika project mbali mbali za kiofisi!

1. Computer name: laptop
2. Operating system: window 7 professional 32-bit (6.1 build 7600)
3. Language: English
4. System manufacturer: Toshiba
5. Bios: ver 1.00PARTTBLO
6. System model: satellite
7. Processor: genuine Intel (R) CPU T 2250@1.73ghz(2cpus)~1.7ghz
8. Memory: 4096mb
9. Page file: 744used; 5378mb available
10. Direction version:direct X 11
Name: mobile Intel(R) 945 express chipset family
11. Manufacturer: Intel corporation

Note: ltk window system ilikuwa 8 nikaomba installation ifanywe ya window 7!!!
Hayo no Maelezo ya ukurasa Wa kwanza baada ya kugonga DXDIAG

cc: wataalam wa ict wote karibuni!!!
 
Mkuu naomba tafsiri ya Maelezo haya kwani kuna laptop nimeinunua juzi na bado ipo ndani ya warranty nikaambiwa kama sijaridhika nayo naweza kuirudisha. Sasa uliposema masuala ya DXDIAG nami nikafanya ila kitaalamu maana ya information hizi sijui. Maelezo ni kama ifuatavyo. Kitakachomiss utasema niongeze au kufanya marekebisho na mwisho naomba ushauri kama yafaa au laah! Nimenunua kwa ajili ya kuandika project mbali mbali za kiofisi!

1. Computer name: laptop
2. Operating system: window 7 professional 32-bit (6.1 build 7600)
3. Language: English
4. System manufacturer: Toshiba
5. Bios: ver 1.00PARTTBLO
6. System model: satellite
7. Processor: genuine Intel (R) CPU T 2250@1.73ghz(2cpus)~1.7ghz
8. Memory: 4096mb
9. Page file: 744used; 5378mb available
10. Direction version:direct X 11
Name: mobile Intel(R) 945 express chipset family
11. Manufacturer: Intel corporation

Note: ltk window system ilikuwa 8 nikaomba installation ifanywe ya window 7!!!
Hayo no Maelezo ya ukurasa Wa kwanza baada ya kugonga DXDIAG

cc: wataalam wa ict wote karibuni!!!
shilingi ngapi? hio laptop labda laki 2 au ikizidi sana 2 na nusu ndio thamani yake.

cpu yake yaani T2250 ni ndogo sana. itakuwa wameiongeza ram hadi 4GB ili wakuvutie. na ni ya kizamani hata manufacturing technology yake ni 65nm.
 
Mkuu naomba tafsiri ya Maelezo haya kwani kuna laptop nimeinunua juzi na bado ipo ndani ya warranty nikaambiwa kama sijaridhika nayo naweza kuirudisha. Sasa uliposema masuala ya DXDIAG nami nikafanya ila kitaalamu maana ya information hizi sijui. Maelezo ni kama ifuatavyo. Kitakachomiss utasema niongeze au kufanya marekebisho na mwisho naomba ushauri kama yafaa au laah! Nimenunua kwa ajili ya kuandika project mbali mbali za kiofisi!

1. Computer name: laptop
2. Operating system: window 7 professional 32-bit (6.1 build 7600)
3. Language: English
4. System manufacturer: Toshiba
5. Bios: ver 1.00PARTTBLO
6. System model: satellite
7. Processor: genuine Intel (R) CPU T 2250@1.73ghz(2cpus)~1.7ghz
8. Memory: 4096mb
9. Page file: 744used; 5378mb available
10. Direction version:direct X 11
Name: mobile Intel(R) 945 express chipset family
11. Manufacturer: Intel corporation

Note: ltk window system ilikuwa 8 nikaomba installation ifanywe ya window 7!!!
Hayo no Maelezo ya ukurasa Wa kwanza baada ya kugonga DXDIAG

cc: wataalam wa ict wote karibuni!!!
processor yake ni ndogi na ya zamani, ila kwa kazi za kuandika hizo project sio mbaya sana, By the way hizo laptop kwa bei huwa zinacheza kwenye 200 hadi 250
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom