Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 11,901
- 27,628
- Thread starter
- #261
Baba Antipas, hujanizidi lakini ☺️Mama Antipas, Mimi nakumiss ww❤️
Baba Antipas, hujanizidi lakini ☺️Mama Antipas, Mimi nakumiss ww❤️
Umebanwa na majukumu au Maka kakupa mahaba hujiwezi 😆😅Mwanakwetu mwenyewe huu mwezi niko juu juu sikaliki, humu naingia kwa kuibia..!!
Khaaa nimepitwa na mengi, imekuwaje umeacha pombe 😳 🤔 ?Kiukweli namisi kupunguza uzito,tangu nimeachana na babe wangu pombe ni upwiru wa kijinga jinga tu
majukumu mdogo wanguKhaaa nimepitwa na mengi, imekuwaje umeacha pombe 😳 🤔 ?
Mangi, upwiru unakutesaje tena? unakwama wapwapi
"Mdogo wangu" is crazy 😆majukumu mdogo wangu
Kwani haitapita?"Mdogo wangu" is crazy 😆
Ndiyo kusema nimejichanganya 😅😅Labda chako ndo kitakua kitamu unipe nionje, siyo hivi vya uswahilini wanafungasha na magazeti vimenishinda tabia.
Huu ulevi mpya ndiyo utakumaliza sasa 😅😅Kwani haitapita?
Kweli nataka ni ibukie huko kwa nguvu , nipige chini pombe, nione itakuaje😅Huu ulevi mpya ndiyo utakumaliza sasa 😅😅
Ngoja uibuke halafu igome kusimama maana ishazoea kubustiwa na kamnyweso 😆 😆 😅Kweli nataka ni ibukie huko kwa nguvu , nipige chini pombe, nione itakuaje😅
Pole sana 🫂🤗Nile japo ata chipsi na soda Binti wa zamani nimemiss sana 😔😭
Sina hela 😔Pole sana 🫂🤗
Vipi huko ulipo hazipatikani?
Na kwanza huruhusiwi kuoa au kuolewa mpaka mwenzio afariki, ndoa za kiislamu za kitapeli kuna baadhi ya wanaume mwezi wa Ramadan ukikaribia wanaoa ili wawe wanapikiwa futari mwezi ukiisha wanatoa talaka, si utapeli huoInasikitisha sana, na ni kweli ndoa za kiislamu talaka nje nje, angekua mkristo basi kufuatilia talaka yenyewe tu miaka 6 😅
Jichanganye😅Ngoja uibuke halafu igome kusimama maana ishazoea kubustiwa na kamnyweso 😆 😆 😅
Pole mkuu , nakuombea kheri uzipate pesa!Sina hela 😔
We acha tuNyama ya bata tamu 😋, pole kwa kuimiss!
Mi nipo teleMimi na secretarybird tumekumiss
Hujajichanganya, umejitumbukiza.Ndiyo kusema nimejichanganya