kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,363
- 16,095
Nadhani huwa anaingia ndoani kimaslahi na siyo ili akatulie atengeneze familia.Sana, ila unawezaje kubadili wanaume kiasi hicho?
How about idadi ya wanaume ambao hawakumuoa? kama kwenye ndoa tu tayari ana sita.
Hizo ndoa za kiislamu mimi ndiyo maana sizipendagi maana muda wowote mkichokana mnaachana tu hata ukitamkiwa tuachane nasikia ndiyo talaka hiyo