Hivi huyu mzee huwa ana mke kabisa🤦🏽♀️Mzee mmoja huko tiktok na Instagram anaongeaga kila jambo analoona haliko sawa, juzi ilikuwa zamu ya Zaiylisa akamsema mtoto mdogo wa miaka 26 ana ndoa 6 huo ni um*aly na mwishoni anamaliziaga kwa kusema nachoka mimi baba yenu Clemence Mwandambo 😂😂
Mimi hizo nyimbo zako mzuka haupandi🤦🏽♀️Kwani nasema uongo sasa jamani Seran ?
Hapo ulipo waendeleaje lakini kipenzi.. Leo asubuhi nimepata mzuka na hakaa.. Ka Morning kamenogaaa
View attachment 3492158
Naomba chapati basi 😊😊Mimi hizo nyimbo zako mzuka haupandi🤦🏽♀️
Story of my life🤦🏽♀️ Kiburi nilikuwa nacho aisee si eti huyo mtu nikawa namtafuta mimi tu! Mwee sahivi mwaka sifanyi hii kazi akinitext namjibu kama naumia vidole🤭 ni kunata hatari!Ni kweli. Kama ni mtu wa hivyo mpotezee maana utaishia kuumia bure.
Ilishanitokea nikaumia sana kwa mtu flani ambae nilimkubali sana kama rafiki lakini niliona kabisa kwamba nalazimisha mawasiliano, niliumia kwa muda mrefu ila sasa nashukuru maana nimeshapona simkumbuki tena na najishangaa kwanini nilikuwa na kiherehere cha kumtafuta😀.
Leo sijapika😂 jana mvua ilikuwa kubwa nikaona tu nipike kutoka nje siwezi.. leo ni ugali tu hakuna bf!Naomba chapati basi 😊😊
Basi huu sikiza dk moya tu alafu uniambie... unapendeza sanaa, kama hiyo haipandi 😎
View attachment 3492165
Aloo.. Mvua tenaa 🙄🙄Leo sijapika😂 jana mvua ilikuwa kubwa nikaona tu nipike kutoka nje siwezi.. leo ni ugali tu hakuna bf!
Kawimbo ni katamu balaa😍 haka umeniokotamo😆
Asante kwa kunielewa!!😅😅😅Ni kweli. Kama ni mtu wa hivyo mpotezee maana utaishia kuumia bure.
Ilishanitokea nikaumia sana kwa mtu flani ambae nilimkubali sana kama rafiki lakini niliona kabisa kwamba nalazimisha mawasiliano, niliumia kwa muda mrefu ila sasa nashukuru maana nimeshapona simkumbuki tena na najishangaa kwanini nilikuwa na kiherehere cha kumtafuta😀.
Ukivisit A town pita masai landDaaah imekuwaje haya mambo sijawahi kuyajua jamani. Anyway, acha tutembee tujionee mambo 😅
Dona mzee..! 😂Aloo.. Mvua tenaa 🙄🙄
Unakula ugali wa uwele au dona na uji kama mie hapa asubuhi asubuhi tumboo ndiii
Hako kawimbo huku romance kama kibabeee eeh.. yani french kiss 😎😎
ila matusi yana raha yake jamanii..
Dona na mboga ya uji wa dona, nyie wa kishua haya mambo hamuyawezi 😎😎Dona mzee..! 😂
Ila wazinzi🤭
Unapoelekea utaanza kusifia uji na nyanyachunguDona na mboga ya uji wa dona, nyie wa kishua haya mambo hamuyawezi 😎😎
Akuuu, mie na uzinzi kama kaskazini na kusini 😅😅
Ohoooo.. nyanya chungu a.k.a ngonwe nzuri sana hizi pia kwa watoto wa kike teh teh... na kwa wanaume nasikiaUnapoelekea utaanza kusifia uji na nyanyachungu
Wewe code zote za kizinzi unazo..
Pole mpwa, all the best Pesa zipatikane ukizitafuta.Nimemiss childhood na pesa 🥲
Sawa, endelea kujifunza 😀Najifunza dadaake sitaki kupitwa na ya dunia😂
Umetumia AI gani kutengeneza hii video?Kwani nasema uongo sasa jamani Seran ?
Hapo ulipo waendeleaje lakini kipenzi.. Leo asubuhi nimepata mzuka na hakaa.. Ka Morning kamenogaaa
View attachment 3492158
Nadhani, hawezi kukosa maana nasikia ni mmiliki wa shule huko MbeyaHivi huyu mzee huwa ana mke kabisa🤦🏽♀️
Sana, ila unawezaje kubadili wanaume kiasi hicho?Mimi mwenyewe nimeshangaa Dunia ina mambo