Nini unakimiss usiku wa leo?

Nini unakimiss usiku wa leo?

😅😅😅😅.. nyie wazee mambo yenu mazito sana. Hamkawii sema baba nikatie Daraja la juu kabisa la KLM wataka enda pumzika pale Brussels...
Kabisa 😅 hayo mambo sijui ya hela za vocha mara za kusuka, wamebaki nazo hao mabinti wa alfu mbili unaowapendaga wewe 🤣
 
Kumbe utimamu upo
This lesson comes in a hard way maana nyeto is soo tempting.

Ila ukivumilia mwezi mmoja tu, hiyo EUPHORIA unayoipata mpaka unaona kabisa kumbe wanawake huwa mnatunyonya sana energy yetu😀

Ndiyo maana zamani wanaume walikuwa hawalali kitanda kimoja na wake zao, wanaume walikuwa na nyumba zao na wanawake nyumba zao.

Kuna siri kubwa kwenye kujizuia kupizi kwa mwanaume.
 
I will, sema kuna watu katika hali ya kawaida ukimtafuta sana anajiona amefika sana!!
Ni kweli. Kama ni mtu wa hivyo mpotezee maana utaishia kuumia bure.
Ilishanitokea nikaumia sana kwa mtu flani ambae nilimkubali sana kama rafiki lakini niliona kabisa kwamba nalazimisha mawasiliano, niliumia kwa muda mrefu ila sasa nashukuru maana nimeshapona simkumbuki tena na najishangaa kwanini nilikuwa na kiherehere cha kumtafuta😀.
 
Back
Top Bottom