Nini unakimiss usiku wa leo?

Nini unakimiss usiku wa leo?

Hapana, ndiyo nani tena huyo?
Anamsema kuhusu nini?
Mzee mmoja huko tiktok na Instagram anaongeaga kila jambo analoona haliko sawa, juzi ilikuwa zamu ya Zaiylisa akamsema mtoto mdogo wa miaka 26 ana ndoa 6 huo ni um*aly na mwishoni anamaliziaga kwa kusema nachoka mimi baba yenu Clemence Mwandambo 😂😂
 
Ameoa lini tena 😅😅😆

Nimeambiwa ndiyo kiongozi wenu Gen Z wa maamndamano, na kwa sasa anatafuta wa kupenzika naye kabla hwajamchakaza next week.
😂😂😂loh! Mimi simuamini alishasema kaoa huyu humu waume za watu ndiyo waliojaa

Nachoka mimi mtoto wa Clemence Mwandambo
 
Mzee mmoja huko tiktok na Instagram anaongeaga kila jambo analoona haliko sawa, juzi ilikuwa zamu ya Zaiylisa akamsema mtoto mdogo wa miaka 26 ana ndoa 6 huo ni um*aly na mwishoni anamaliziaga kwa kusema nachoka mimi baba yenu Clemence Mwandambo 😂😂
Kheee 😳 yule mke za zamani wa Manara ana miaka 26 😳 na sikujua ana ndoa 6. Hatari sana!
 
Kheee 😳 yule mke za zamani wa Manara ana miaka 26 😳 na sikujua ana ndoa 6. Hatari sana!
😎😎 mambo zangu hizi, siku kaboo kakiota nitatafuta wa hivi.. Goja nipande mbegu kachipuke
G33GBoRWgAAO0_U.jpeg
 
Back
Top Bottom