Nini ufanye kama mtu uliye naye kafariki ghafla?

Nini ufanye kama mtu uliye naye kafariki ghafla?

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
5,168
Reaction score
8,977
Hapa tunaongelea kifo cha kawaida au cha asili.

Unachukua hatua gani kama mtu uliyenaye kafariki ghafla na wewe ndio upo hapo?

Tuelimishane hapa utafanyaje hatua gani, hatua kwa hatua. maana kuna watu huwa wanatoka mbio baada ya matukio kama haya kutokea mahali walipo.

Hatuombei mambo haya lakini hatuwezi kuzuia yasitokee maana kila binadam aliyezaliwa kwa mwanamke ana mwisho wake.

Sisi sote ni wa mavumbini na mavumbini tutarudi.
 
Kitanzania kama kuna namna yakusepa wew sepa tu kama usije uungwana wakutoa taarifa ukakuponza ukapoteza mda wako mahabusu, nina ndugu true story kabsa alipoenda mwenyeji alifariki ghafla akashikwa yeye na mtu mwngne wa pale kakaa gerezani karibia miaka 2 ndo anakuja kutolewa hana hatia so kibongo bdo sana wew mtoa taarifa ndo mtuhumiwa namba 1
 
Kitanzania kama kuna namna yakusepa wew sepa tu kama usije uungwana wakutoa taarifa ukakuponza ukapoteza mda wako mahabusu, nina ndugu true story kabsa alipoenda mwenyeji alifariki ghafla akashikwa yeye na mtu mwngne wa pale kakaa gerezani karibia miaka 2 ndo anakuja kutolewa hana hatia so kibongo bdo sana wew mtoa taarifa ndo mtuhumiwa namba 1
Aliuawa au alifariji kawaida?
 
Kuna watanzania wanaona fahari kuwa wa kwanza kutangaza kifo cha mtu.

Matapeli kweli yaani.
 
Hatua ya Kwanza nenda karipoti Kwa Kiongozi wako wa Mtaa yaani Mjumbe.
 
Hapa tunaongelea kifo cha kawaida au cha asili.

Unachukua hatua gani kama mtu uliyenaye kafariki ghafla na wewe ndio upo hapo?

Tuelimishane hapa utafanyaje hatua gani, hatua kwa hatua. maana kuna watu huwa wanatoka mbio baada ya matukio kama haya kutokea mahali walipo.

Hatuombei mambo haya lakini hatuwezi kuzuia yasitokee maana kila binadam aliyezaliwa kwa mwanamke ana mwisho wake.

Sisi sote ni wa mavumbini na mavumbini tutarudi.
Amekufia wapi? Guest House?
 
Hapa tunaongelea kifo cha kawaida au cha asili.

Unachukua hatua gani kama mtu uliyenaye kafariki ghafla na wewe ndio upo hapo?

Tuelimishane hapa utafanyaje hatua gani, hatua kwa hatua. maana kuna watu huwa wanatoka mbio baada ya matukio kama haya kutokea mahali walipo.

Hatuombei mambo haya lakini hatuwezi kuzuia yasitokee maana kila binadam aliyezaliwa kwa mwanamke ana mwisho wake.

Sisi sote ni wa mavumbini na mavumbini tutarudi.
CCTV tu ndiyo utakayokuokoa usiisaidie Polisi kazi kwa muda mrefu otherwise kama hakuna mtu na ulikuwa naye wewe basi JUMBA BOVU LINAKUDONDOKEA.
 
Swali ni amekufa katika mazingira gani, alikuwa mgonjwa au ghafla?

Kama ni nyumbani na kifo ni cha asili.
1. Vuta pumzi nzito, shukuru Mungu kwa kilichotokea.
2. Fanya umuweke marehemu vizuri kama amekufa katika hali isiyo ya kawaida, huenda hakufumba macho, alijisaidia nk. Muweke vizuri, valisha nguo nzuri.
3. Pigia simu ndugu zako wa karibu wape taarifa.
4. Piga simu kwa jirani, mpe taarifa aje kukupa msaada.
5. Mpelekeni marehemu mochwari na taratibu nyingine zitafuata huko.
 
Ni suala la kujifunza ,kifo tunatembea nacho..Ukiona hivyo we toa taarifa tu kiongozi kuanzia ngazi ya chini ya mtaa.
 
Sa
Swali ni amekufa katika mazingira gani, alikuwa mgonjwa au ghafla?

Kama ni nyumbani na kifo ni cha asili.
1. Vuta pumzi nzito, shukuru Mungu kwa kilichotokea.
2. Fanya umuweke marehemu vizuri kama amekufa katika hali isiyo ya kawaida, huenda hakufumba macho, alijisaidia nk. Muweke vizuri, valisha nguo nzuri.
3. Pigia simu ndugu zako wa karibu wape taarifa.
4. Piga simu kwa jirani, mpe taarifa aje kukupa msaada.
5. Mpelekeni marehemu mochwari na taratibu nyingine zitafuata huko.
Sawa
 
Swali ni amekufa katika mazingira gani, alikuwa mgonjwa au ghafla?

Kama ni nyumbani na kifo ni cha asili.
1. Vuta pumzi nzito, shukuru Mungu kwa kilichotokea.
2. Fanya umuweke marehemu vizuri kama amekufa katika hali isiyo ya kawaida, huenda hakufumba macho, alijisaidia nk. Muweke vizuri, valisha nguo nzuri.
3. Pigia simu ndugu zako wa karibu wape taarifa.
4. Piga simu kwa jirani, mpe taarifa aje kukupa msaada.
5. Mpelekeni marehemu mochwari na taratibu nyingine zitafuata huko.
Kifo nacho kinaogopesha sana..
 
Katika hali ya kawaida unatakiwa kuthibitisha kama kweli amekufa au yupo katika zile hatua za mwisho mwisho kufa. Baada ya hapo toa huduma ya haraka huku ukiwa unahita msaada wa watu.

Sema kibongo bongo ambapo tunaujua weledi wa askari wetu likitokea tukio kama ilo kama hakuna ulazima wa kuendelea kuwepo hapo basi wewe sepa tu otherwise jumba bovu litakuangukia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom