Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,197
Tukutane huko ebu.Naona tu sku iz, bz
Tukutane huko ebu.Naona tu sku iz, bz
Kampikie kwnz mumeo halaf baadae ukishaoga uje
Tehetehetehe sina kibamia, ila nina upungufu wa nguvu za kiume na kanivumiliaMasikini kasoro umeanza kuziona sasa hivi? Ukute una kibamia kakuvumilia hivyo hivyo leo umemchoka. Mwache tu kuna siku utamkumbuka wewe ulishakuwa makinikia ya 0.0gm
Sawa mama a, ila wanawake mnateteana sana aseMungu atakuadhibu wewe shauri yako, nakuona ni mzee wa kufunua tuu
Lakini jiangalie sana machozi ya hao wanawake yatakutesa sana ni kama unajitafutia mikosi kwa nguvu zote.
Achana na hiyo tabia kabisa.
Daaa huko kutanifaa kabisa, natamani kutulia kabisaBado hujampata anae kufaa piga chini tafuta mwingine,au njoo ludewa wanawake wa huku wanaroga wanaume wanatulia tu tuliiiiii
Post sent using JamiiForums mobile app
Hpana mkuu, nimevuka 18 hivyo hupaswi kusema ni utotoNi utoto tu
hahahaha ashakula!nishaoga!lol!
Sasa ngoja nije pm tuchat wakat umevaa night dress
Ototo ndo @atoto??Habari za wakati huu bosses!
Ngoja niende straight to the point.
Mimi nina ugonjwa wa kuanzisha uhusiano na msichana lakini baada ya Muda namchoka. Kama sasa hivi nina mpenzi ambae kiukweli anadai ananipenda, na ninaona kwa vitendo kwani sijawahi hata kumhisi kama ananicheat, achilia mbali kushuhudia. Lakini nimeanza kumchoka na kumfanyia visa ili aniache kama kutomjali, akiniomba viela vya hapa na pale namnyima, simu simpigii mpaka apige yeye na sometimes sipokei, licha ya kwamba mwanzoni nilipanga kumuoa.
Lakini naona nikimuoa nitaenda kumtesa bure tu, kwani nimeanza kumtoa kasoro za hapa na pale, ukizingatia yeye ni mkubwa kwangu miaka 2 hiyo nayo naona ni sababu moja wapo wa kumuacha.
Wakuu hebu nipeni mbinu mnazotumia mpaka mnadumu kwenye mahusiano na mwanamke mmoja Muda mrefu bila kumchoka.
Huu ugonjwa unanitesa viongozi fanyeni kweli kwenye ushauri, maana huku hakiaribiki kitu.
hahaha sheikh kipoozeo bwana! ishia hapa hapa mie bibi ako
@atoto yuko wapi??Hauko serious
Unavochoka uchi ushapata au msg tu zimekuchoshaMzee kikubwa unakuwa na uhitaji wa Uchi tu Ukishaupata basii.
Mimi ninatatizo kila mtu ninayefahamiana naye hapa JF tukishajuana japo kidogo namchoka, mawasiliano yanapungua.