Nini sababu ya kumchoka mwanamke haraka?

Nini sababu ya kumchoka mwanamke haraka?

Masikini kasoro umeanza kuziona sasa hivi? Ukute una kibamia kakuvumilia hivyo hivyo leo umemchoka. Mwache tu kuna siku utamkumbuka wewe ulishakuwa makinikia ya 0.0gm
 
Habari za wakati huu bosses!

Ngoja niende straight to the point.

Mimi nina ugonjwa wa kuanzisha uhusiano na msichana lakini baada ya Muda namchoka. Kama sasa hivi nina mpenzi ambae kiukweli anadai ananipenda, na ninaona kwa vitendo kwani sijawahi hata kumhisi kama ananicheat, achilia mbali kushuhudia. Lakini nimeanza kumchoka na kumfanyia visa ili aniache kama kutomjali, akiniomba viela vya hapa na pale namnyima, simu simpigii mpaka apige yeye na sometimes sipokei, licha ya kwamba mwanzoni nilipanga kumuoa.

Lakini naona nikimuoa nitaenda kumtesa bure tu, kwani nimeanza kumtoa kasoro za hapa na pale, ukizingatia yeye ni mkubwa kwangu miaka 2 hiyo nayo naona ni sababu moja wapo wa kumuacha.

Wakuu hebu nipeni mbinu mnazotumia mpaka mnadumu kwenye mahusiano na mwanamke mmoja Muda mrefu bila kumchoka.

Huu ugonjwa unanitesa viongozi fanyeni kweli kwenye ushauri, maana huku hakiaribiki kitu.
Mungu atakuadhibu wewe shauri yako, nakuona ni mzee wa kufunua tuu
Lakini jiangalie sana machozi ya hao wanawake yatakutesa sana ni kama unajitafutia mikosi kwa nguvu zote.
Achana na hiyo tabia kabisa.
 
Unajini mahaba ww kamtoe huyo
Kabsa hujakosea mkuu lazma litolewe, km n mkristo tafuta watumishi wa Mungu wakuombee haraka sn.
Mm n msichana lkn na mm nlkua na hali km yako hlf nlkua naota ucku nado, nkaambiwa n jin mahabatiii, nkaombewa, nkajiombea nkawa salama nkapata mume na wala cjawai fkria kumchoka

Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
 
Mzee kikubwa unakuwa na uhitaji wa Uchi tu Ukishaupata basii.

Mimi ninatatizo kila mtu ninayefahamiana naye hapa JF tukishajuana japo kidogo namchoka, mawasiliano yanapungua.
Ndo mana kumbe!!
 
Habari za wakati huu bosses!

Ngoja niende straight to the point.

Mimi nina ugonjwa wa kuanzisha uhusiano na msichana lakini baada ya Muda namchoka. Kama sasa hivi nina mpenzi ambae kiukweli anadai ananipenda, na ninaona kwa vitendo kwani sijawahi hata kumhisi kama ananicheat, achilia mbali kushuhudia. Lakini nimeanza kumchoka na kumfanyia visa ili aniache kama kutomjali, akiniomba viela vya hapa na pale namnyima, simu simpigii mpaka apige yeye na sometimes sipokei, licha ya kwamba mwanzoni nilipanga kumuoa.

Lakini naona nikimuoa nitaenda kumtesa bure tu, kwani nimeanza kumtoa kasoro za hapa na pale, ukizingatia yeye ni mkubwa kwangu miaka 2 hiyo nayo naona ni sababu moja wapo wa kumuacha.

Wakuu hebu nipeni mbinu mnazotumia mpaka mnadumu kwenye mahusiano na mwanamke mmoja Muda mrefu bila kumchoka.

Huu ugonjwa unanitesa viongozi fanyeni kweli kwenye ushauri, maana huku hakiaribiki kitu.
Bado hujampata anae kufaa piga chini tafuta mwingine,au njoo ludewa wanawake wa huku wanaroga wanaume wanatulia tu tuliiiiii

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Haya ukimwambia huyo dada atajua chakufanya....

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Habari za wakati huu bosses!

Ngoja niende straight to the point.

Mimi nina ugonjwa wa kuanzisha uhusiano na msichana lakini baada ya Muda namchoka. Kama sasa hivi nina mpenzi ambae kiukweli anadai ananipenda, na ninaona kwa vitendo kwani sijawahi hata kumhisi kama ananicheat, achilia mbali kushuhudia. Lakini nimeanza kumchoka na kumfanyia visa ili aniache kama kutomjali, akiniomba viela vya hapa na pale namnyima, simu simpigii mpaka apige yeye na sometimes sipokei, licha ya kwamba mwanzoni nilipanga kumuoa.

Lakini naona nikimuoa nitaenda kumtesa bure tu, kwani nimeanza kumtoa kasoro za hapa na pale, ukizingatia yeye ni mkubwa kwangu miaka 2 hiyo nayo naona ni sababu moja wapo wa kumuacha.

Wakuu hebu nipeni mbinu mnazotumia mpaka mnadumu kwenye mahusiano na mwanamke mmoja Muda mrefu bila kumchoka.

Huu ugonjwa unanitesa viongozi fanyeni kweli kwenye ushauri, maana huku hakiaribiki kitu.
Habari za wakati huu bosses!

Ngoja niende straight to the point.

Mimi nina ugonjwa wa kuanzisha uhusiano na msichana lakini baada ya Muda namchoka. Kama sasa hivi nina mpenzi ambae kiukweli anadai ananipenda, na ninaona kwa vitendo kwani sijawahi hata kumhisi kama ananicheat, achilia mbali kushuhudia. Lakini nimeanza kumchoka na kumfanyia visa ili aniache kama kutomjali, akiniomba viela vya hapa na pale namnyima, simu simpigii mpaka apige yeye na sometimes sipokei, licha ya kwamba mwanzoni nilipanga kumuoa.

Lakini naona nikimuoa nitaenda kumtesa bure tu, kwani nimeanza kumtoa kasoro za hapa na pale, ukizingatia yeye ni mkubwa kwangu miaka 2 hiyo nayo naona ni sababu moja wapo wa kumuacha.

Wakuu hebu nipeni mbinu mnazotumia mpaka mnadumu kwenye mahusiano na mwanamke mmoja Muda mrefu bila kumchoka.

Huu ugonjwa unanitesa viongozi fanyeni kweli kwenye ushauri, maana huku hakiaribiki kitu.

Angalia usije ukawa na ile kitu wanasaikolojia wanaita narcissistic personality disorder. Wenye tatizo hili wana shida ya kumaintain relationship na wenza wao. Igoogle hiyo kwa ufafanuzi zaidi.
 
Back
Top Bottom