Nini sababu ya kumchoka mwanamke haraka?

Nini sababu ya kumchoka mwanamke haraka?

OK tufanye ivi ,kwan mahusiano mlonayo nimlikua ili badae muoane au ni kupunguzana ashiki ???

Jibu .

N.b ,,mschana anakupenda kutokana na maelezo yako .
Kiukweli boss, mimi lengo langu lilikua kupunguza ashki, sasa baada ya kuingia kwenye uhusiano kumbe yeye alikua serious, kwa hiyo kila alichokua ananiambia mimi nakubali tu sawa, hata swala la umri alishaniuliza nikamwambia haina shida hiyo. Mwanzoni nilikua nimeridhika nae tu, ila nashangaa sasa hivi namchoka

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Ushakula mkuu na ukashiba njaa ya nini

Sent from my SM-N910C using JamiiForums mobile app
 
Kiukweli boss, mimi lengo langu lilikua kupunguza ashki, sasa baada ya kuingia kwenye uhusiano kumbe yeye alikua serious, kwa hiyo kila alichokua ananiambia mimi nakubali tu sawa, hata swala la umri alishaniuliza nikamwambia haina shida hiyo. Mwanzoni nilikua nimeridhika nae tu, ila nashangaa sasa hivi namchoka

Post sent using JamiiForums mobile app
Aaahhh Basi sawa ngoja nikushauri Kwa herufi kubwa .

MWAMBIE ,, MWAMBIE UKWELI KUA HAUPO TAYARI KUMPOTEZEA MUDA WAKE SO AWE HURU NA MAISHA YAKE .

UTAOKOA 1- MUDA WAKE
2 - UTAMPA FURSA YA KUFANYA MAISHA IKIWEMO KUMPATA MWANAMME SAHIHI KWAKE .

NAHAPO UMWAMBIE KWELI ,, SIO KENDELEA KUMPOTEZEA MUDA WAKE MWENZAKO AWEKEZE MAISHA KWAKO MOYO WAKO NGUVU KWAKO ALAFU BAADAE UMZENGUE .

MWOKOE KWA KUMWAMBIA UKWELI .MAKE HER FREEE
 
Aaahhh Basi sawa ngoja nikushauri Kwa herufi kubwa .

MWAMBIE ,, MWAMBIE UKWELI KUA HAUPO TAYARI KUMPOTEZEA MUDA WAKE SO AWE HURU NA MAISHA YAKE .

UTAOKOA 1- MUDA WAKE
2 - UTAMPA FURSA YA KUFANYA MAISHA IKIWEMO KUMPATA MWANAMME SAHIHI KWAKE .

NAHAPO UMWAMBIE KWELI ,, SIO KENDELEA KUMPOTEZEA MUDA WAKE MWENZAKO AWEKEZE MAISHA KWAKO MOYO WAKO NGUVU KWAKO ALAFU BAADAE UMZENGUE .

MWOKOE KWA KUMWAMBIA UKWELI .MAKE HER FREEE
Ni kweli kabisa kiongozi hilo ni la muhimu sana
 
Mpende kwa kumuacha na usimuoe, utampa shida bure dada yetu..
 
Wanaume acheni kuumiza hisia za watoto Wa watu mungu anawaona,kama unaona MTU umemtamani tu bora umpotezee kuliko kuanzisha nae mahusiano,mnatesa nafsi za watu,mkumbuke mtenda hutendwa japo akitendwa huona ameonewa.

Sent from my Lenovo A5600 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli kabisa kiongozi hilo ni la muhimu sana
Yes sure mkuu msaidie ...unajua nibora MTU umlize Kwa kumwambia ukweli lakini sio umtakatishe USO wake Kwa tabasamu lilotokana na uongo ..

Though kuna baadhi yanyakati ambazo Ukweli unapaswa kufichwa ukiwa tu unaweza kuleta athari zakama mauaji LKN kwakesi kama yako Ukweli wako utamsaidia sana huyo mwanamke .
 
Ukiwa na tabia ya kumtoa kasoro na kumchoka kirahisi kila mwanamke, pengine unataka wanaume bila kujua.
 
yaani hayo mapepo ukaombewe harakaaa iwezekanavyo maana yakishakukaa ni hatari zaidi kwa afya yako ndugu

I BLNG 2 JESUS CHRST
 
Huo wala sio ugonjwa ni tatizo tu lakisaikolojia ambalo lipo kwa wanaume wengi pale inapotokea aidha umetongoza mwanamke ambaye haja kidhi kiu ya moyo wako na wakati huo ameshakukubalia nauko nae kwenye mahusiano,baada ya muda iyo hali lazima itokee.na wakati mwingine inatokea pale unapomtamani mwanamke alafu ukawa na matarajio makubwa kichwani kwako toka kwake sasa hali ikiwa tofauti lazima upate iyo hali.sasa mara nyingi waanga ni wanawake wakati makosa wamefanya wanaume.Kwaiyo kama iyo hali inakutesa usiwe unadate na mwanamke ambaye hajakidhi moyo wako na ukidate nae husiweke matarajio makubwa kabla.Uyo uliyenaye sasa hivi maamuz unayo mwenyewe japo bado una nafasi yakuboresha hayo mahusiano.Mapenzi ni sanaa usipoyaboresha yanakufa.
 
Back
Top Bottom