Nini Mchango wa Msanii Kama Wema Wakati wa Harakati kama za Leo?

Ninarudia kukuambia maana naona huelewi. Mimi sio mwanachama wa cdm bali ni mshabiki wa kutupwa wa cdm. Naona huelewi hali hizi 2. Mshabiki unawewa kupongeza na kukichangia chama kwa hiari ila huingii kwenye vikao vya chama. Mwanachama lazima umiliki kadi, una haki ya kuchagua au kuchaguliwa kupitia chama, unaweza kuingia kwenye vikao vya chama vyenye kufanya maamuzi. Kutoa michango mbalimbali kwa chama ukiwa mwanachama sio hiari ni wajibu. Huenda kwa sasa utakuwa umeelewa tofauti ya shabiki na mwanachama.

Hata kwenye kupiga vyama vyote huwa vinapata kura toka kwa wanachama wake na wale wasiowanachama. Ukiona unashindwa kuelewa maelezo yangu nenda kamuone Polepole kwa ufafanuzi zaidi baina ya mwanachama na shabiki pamoja na sifa zao. Sawa dogo?
Pumba nyingii.
 
Acha uongo wewe! Mtu kama Mgwira hata kwenye chama hajaingia cheo juu mpaka wale mnaongojea vyeo mumenuna. Ona hata issue ya Slaa.
Mkuu Mgwira aliteuliwa akiwa upinzani, hakuwa ccm!

Ccm siyo kama chadema yani kweli mnamuandaa Sumaye kumpkea Wema?

Ona Nyalandu anavyopewa special treament! Utafikiri sijui kaifanyia nn chadema.

Masha aliwapiga sana chadema mabom akiwa waziri wa mambo ya ndani, alipohamia huko akaoneshwa hadi chumbani, that's why wenye akili wanaona mnatongozeka kirahisi mno.

Sasa hivi ccm hawaitaji hata gharama yeyote kupanda mamluki chadema.
 
Tofauti ya ccm na chadema katika hili ni moja.

Mtu akitoka chadema kwenda ccm anakaa benchi angalau kwa miaka 2 ndio atapewa cheo..

Mtu akitoka ccm kwenda chadema siku hiyohiyo anakabidhiwa funguo hadi za chumbani
Acha unafiki Mghwira na Mkumbo wamekaaa muda gani kabla ya "kupewa" vyeo?
 
Mkuu Chakaza nikiwashambulia viongozi wa cdm hapa jukwaani kuhusu huo udhaifu wa kupokea wanaccm na kuwapa nafasi kubwa chamani naona kama baadhi ya makamanda hawanielewi. Sasa wangalau naona wewe mwenzangu umeanza kuchukua hatua. Tulipiga kelele sana kuhusu Shibuda tukajiapiza kwa kosa lile, nilidhani kama chama tulijifunza. Uchaguzi wa 2015 ndio tukafanya kosa la kipuuzi kuliko yote unayoyajua wewe kama chama. Huyu Wema saa hii ni kama kumuonea tu. Viongozi wa cdm wajitokeze watupe mchango wake na akiana Masha waliowapa nafasi ya kugombea ubunge wa EALA.
Migambo wanaruka na kukanyagana, na kunyagana, waiguruuu!!
 
Mmewalemaza wenyewe hawa viongozi wenu ndio maana wanakuwa wazembe wala hawajali sababu wanajua mtawatetea tena utetezi ule ule miaka yote utafikiri ndio unatokea. Leo Chadema inashangaa CCM kutumia dola kwenye uchaguzi? Viongozi maono yamefika mwisho ...
 
Mambo mengine labda tumuulize msemaji wa Wema Sepetu ambaye ni Mheshimiwa Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye. Tulimuona pale alipotuahirishia press conference ya Wema akitueleza kwamba "kamanda Wema" amekwenda Mahakamani kwenye kesi yake aliyoshitakiwa ya utumizi wa majani.
 
Chama changu kilitumia nguvu nyingi kumtetea na kumnadi msanii Wema na wengine ikiaminika kuwa wanaweza kutumia fursa ya umaarufu wao katika sanaa kuvuta hisia kwa wengine wakati kama huu makamanda wanapo pambana huko field.
Lakini kwa muono wangu hakuna faida yeyote tuliyopata au tupatayo ukilinganisha na nguvu kubwa iliyotumika kumpokea, kumtetea na hata kumpa nafasi kama mtu wa msaada kwa chama.
Imagine matukio kama haya ya mawakala kupigwa mapanga na nondo na kuumizwa, mtu kama Wema angeposti katika ukurasa wake kuonyesha kusikitishwa nayo jamii ingepokeaje swala hilo? Hata vijana washabiki wake wangeguswa na kujenga taswira mpya ya kuelewa nini kinaendelea.
Sasa tokea kampeni za udiwani zimeanza hadi mabaya haya yanatokea yeye hana habari kabisa na hayamhusu. Lakini utetezi wa maonevu aliokuwa anafanyiwa ndio anaona chama kinamhusu, huu ni ujinga usio vumika kabisa. Nadhani kama chama kitengo cha uenezi tuwe na la kujifunza hapa.
Kama mtu haumizwi na ile damu ya wana Chadema inayomwagwa kwa maumivu makali basi hastahili kuitwa mwenzetu na akae mbali nasi au arudi alikotoka.

yani si sawa sawa na wasanii hawawez kukaa bila ya jina la mdada yule ,ivi inakuaje lakini,sasa nakuuliza ivi cc makamanda tuli mnadi uhuru muigai kenyatta je ,amepost nini? au amekemea nini leo ,tujifunze hapa siasa za kishabki hazina msingi-naona baba wademokrasia tulivo mkosha kwa maji ya zamu zamu kulingana na cheo chake angetupia post ya kulaani angesikika duniani kote.....achana na uzii zisizo maana-tumepost mangapi? tukae chini tujiulize nini tufanye ili tufanikishe si mda walawama mara kumi unge tupia lawama walio nunuliwa mpka kusababisha umwagikaji wa damu na kamata kamata ili hali wao wametulia -tujipange upyaa -tuache lawamaa
 
Chama kijitafakari namna ya kupokea watu toka nje, isiwe ni sifa kupokea watu, bali iwe sifa wanafanya nini, na wana manufaa gani, Fanyeni vikao vya ndani muambizane hayo sio mnakaa vikao mnaishia matamko yasiyotekelezeka,kuna wanachama watiifu wa chadema balaaa lakini hawana nafasi nahisi
 
Ni mpuuzi tu aliyemshangilia Wema wakati anajiunga na CDM.

Tunaacha kumteua Mnyika kuwa katibu mkuu anateuliwa Mashinji.



Chama changu kilitumia nguvu nyingi kumtetea na kumnadi msanii Wema na wengine ikiaminika kuwa wanaweza kutumia fursa ya umaarufu wao katika sanaa kuvuta hisia kwa wengine wakati kama huu makamanda wanapo pambana huko field.
Lakini kwa muono wangu hakuna faida yeyote tuliyopata au tupatayo ukilinganisha na nguvu kubwa iliyotumika kumpokea, kumtetea na hata kumpa nafasi kama mtu wa msaada kwa chama.
Imagine matukio kama haya ya mawakala kupigwa mapanga na nondo na kuumizwa, mtu kama Wema angeposti katika ukurasa wake kuonyesha kusikitishwa nayo jamii ingepokeaje swala hilo? Hata vijana washabiki wake wangeguswa na kujenga taswira mpya ya kuelewa nini kinaendelea.
Sasa tokea kampeni za udiwani zimeanza hadi mabaya haya yanatokea yeye hana habari kabisa na hayamhusu. Lakini utetezi wa maonevu aliokuwa anafanyiwa ndio anaona chama kinamhusu, huu ni ujinga usio vumika kabisa. Nadhani kama chama kitengo cha uenezi tuwe na la kujifunza hapa.
Kama mtu haumizwi na ile damu ya wana Chadema inayomwagwa kwa maumivu makali basi hastahili kuitwa mwenzetu na akae mbali nasi au arudi alikotoka.
 
Kwanza Wema nimjuavyo mimi ni mpenzi wa one party system sijui ni kitugani kilimpeleka huko.
 
Kuna vitu vingine mlitakiwa kuvijia kabla,

Unataka ashinde kwenye kampeni bila kumlipa halafu akale nini....

Hao ni wafanyabiashara sema uzuri wao Biashara zao ni mobile.
 
Mmewalemaza wenyewe hawa viongozi wenu ndio maana wanakuwa wazembe wala hawajali sababu wanajua mtawatetea tena utetezi ule ule miaka yote utafikiri ndio unatokea. Leo Chadema inashangaa CCM kutumia dola kwenye uchaguzi? Viongozi maono yamefika mwisho ...
Ndugu mbona Omo nyingi wewe unamchango Gani wakuinua Democrasia ya Nchi hii au nihii yakuka kwenye Simu nakulaumu watu
 
Doo, naona Mbowe ameanza kupata za uso. Sijui jaaziba ya uchaguzi au watu wapo serious. Ngoja tuone!
 
Back
Top Bottom