Nini maana ya shemu darling?

Nini maana ya shemu darling?

Kuita shemeji au wifi, siwezi, huwa naita "baba fulani" au "mama fulani" km hana mtoto ntamuita kwa jina lake, regardless amenizidi umri.
 
Kumuita mtu kama baba, kaka,dada,shemeji hua napata sana mtihani naona majina hayo yamekaa kitwana sana yaani inabidi ujishushe ili kuita (hua naita father,broo,sister,dogo wangu,shem pia napata shida sana kumuita mjomba anko,shangaz anti naona imekaa kichoko sana majina ayo)
 
Kumuita mtu kama baba, kaka,dada,shemeji hua napata sana mtihani naona majina hayo yamekaa kitwana sana yaani inabidi ujishushe ili kuita (hua naita father,broo,sister,dogo wangu,shem pia napata shida sana kumuita mjomba anko,shangaz anti naona imekaa kichoko sana majina ayo)
Baba unamuita father.!. Mimi utotoni kaka na dada nilikua nawaita kaka au dada na majina yao mfano kaka anaitwa pasco nitamuita kaka pasco. Dada anaitwa Eliza nitamuita dada eliza.

Huku ukubwani kaka bado nawaita vilevile kwa kutumia title ya kaka na majina yao lakini dada natumia title ya mama na majina ya watoto wao mfano mtoto wa dada anaitwa salome nitamwita mama salome.

Mashemeji wa kiume nawaita shemeji. Mashemeji wa kike nawaita kwa title ya mama na majina ya watoto wao kama ninavyowaita dada zangu
 
Ila we jamaa sijui umewaza nini😅

But mimi hua naona tu neno Shem limekaa kimchongo mchongo
Kama ni shemeji basi iwe shemeji
Wadada wengi wana tabia ya kutaka kukwapua boyfriends wa rafiki zao sijui kwanini..

Unakuta alikua anakufahamu, ila alikua hana mazoea na wewe, ila ukishaanza date na rafiki yake anaanza kukupa attention yenye maana ya yeye kujilengesha kimapenzi.. mwanaume usipokua na msimamo unaharibu ephen_ ShesRise_1 realMamy Shadeeya
 
Wadada wengi wana tabia ya kutaka kukwapua boyfriends wa rafiki zao sijui kwanini..

Unakuta alikua anakufahamu, ila alikua hana mazoea na wewe, ila ukishaanza date na rafiki yake anaanza kukupa attention yenye maana ya yeye kujilengesha kimapenzi.. mwanaume usipokua na msimamo unaharibu ephen_ ShesRise_1 realMamy Shadeeya
Aloooo sikujua kumbe wengi wapo hivi nilidhani ni wachache tu
 
Back
Top Bottom