realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 7,335
- 18,387
Kwa hiyo ni sisi auWadada wengi wana tabia ya kutaka kukwapua boyfriends wa rafiki zao sijui kwanini..
Unakuta alikua anakufahamu, ila alikua hana mazoea na wewe, ila ukishaanza date na rafiki yake anaanza kukupa attention yenye maana ya yeye kujilengesha kimapenzi.. mwanaume usipokua na msimamo unaharibu ephen_ ShesRise_1 realMamy Shadeeya