da kumbe sasa wauza nyago nao wanaiga tu aaaaaaaaaaaaaaaggggggg mi nilidhani nipo mwenyewe silielewi basi sawa ngoja wajehili neno alianzisha Kajala muuza nyago bongo muv kule whasap baada ya team Wema kumwambia arudishe zile mil13 ili asiende jela, nahisi hvyo
Mi nimekuwa nikisikia tu , in town siku hizi kila mt ooooh kantangazee, msaada tutani maana hata ukiomba papuch utasikia kantangazeeeeeeeeeeeeee
chadema wanajua maana ya hilo neno
Wasio na kazi utawajua tu
Kuna wimbo nao nmeona unaimbwa na hilo neno,binafsi sipendi kuckia mtu akilisema.
Heheeee....kantangazeeeeee...
Eti nimekumiss (ole wako unambie kantangazee)
Imekufa hio nw sasa kuna kansajili