inspector laddy
JF-Expert Member
- Jan 5, 2014
- 761
- 258
Hehee!kila mtu kantangaze kantangaZee,utangazwe kwa kipi cha ajabu ulichokua nacho?binafsi siupendi huo msemo
kantangaze ni kumfagilia mtu,kwa kitu chochote kile.kama amependeza unammwambia umependeza,unamjibu kantangazeee