Umichelewa mi nimishakutangaza.... wera weraaaaaaUsipontangaza ntakutangaza mie...............
Waje wenyewe wa mtogole magomeni nk waje watujuze maana
Umichelewa mi nimishakutangaza.... wera weraaaaaa
Amtangaze nani wakati hata mjumbe hamjui?? Ni wapuuzi tu wasikuumize kichwa,mara nyingi ni wadhaifu sana hutumia hii kauli kujilinda
Ze nyuzi iz zati...in english,kantangazeeeee=go and publish me!lol
We acha kumtongoza mumeo... Vya kutangazwa ninavyo kwa taarifa yako... enheee ze nyuzi iz zati banaNaomba basi Ngalikihinja, hunijui wewe nitakutangaza miye. Hahahahhaaa huna hata cha kutangazwa
Utatangazwa wewe uliyebaka ujuwe...Hawajielewi!!! Mm huo msemo unaniboa kichiz... Dawa yao unakamata unapiga pipe then akajitangaze mwenyewe na kipapuch chake
Heheeee....kantangazeeeeee...
Katangazeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!
Tena ya EFDNa risiti uniletee!!!