Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,639
Tena ya EFD
najuta kukufaham we mwanaume lol
Tena ya EFD
Naomba basi Ngalikihinja, hunijui wewe nitakutangaza miye. Hahahahhaaa huna hata cha kutangazwa
Wow,mwenye umbo la kibantu.....akicheka ana dimples!! Anapigwa kanzu mtu paleeeeee
huwa nakereka kuona hadi wanaume pia wanatumia hili neno....
Ukiona Mwanaume analitumia hilo neno,ujue ni baiskeli ya kihindi au ana elements hizohuwa nakereka kuona hadi wanaume pia wanatumia hili neno....
Mi nimekuwa nikisikia tu , in town siku hizi kila mtu ooooh kantangazee, msaada tutani maana hata ukiomba papuchi utasikia kantangazeeeeee
Katangazeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!
Wow,mwenye umbo la kibantu.....akicheka ana dimples!! Anapigwa kanzu mtu paleeeeee
Mi forward kaziniiii.....ndo najiandaa kumpiga kanzu
duh....habari ndio hiyo!Ze nyuzi iz zati...
namasteeeeeee ile ya lara 1 na yenyewe ndio nini????
Salaam ya kihindi hiyo, ts like hi,
mtoaji anasema namastee huku anakutanisha mikono katika paji la uso, muitikiaji nae anajibu namastee huku nae akifanya ishara hiyo hiyo.
ts classic.