Nini maana halisi ya kuzini (You shall not commit adultery)

Yote ni zinaa awe kwenye ndoa ama nje ya ndoa ili mradi hawakuoana na wakafanya tendo basi ni zinaa
 
kwa Mujibu wa Uislam Zinaa ni kujamiiana na Mtu ambae huna Mkataba nae wa kisheria kujamiiana ( Ndoa ya Kisheria kwa mujibu wa taratibu na kanuni za kiislam )
 
Inategemeana na imani yako,kwa mfano mkristu au muislam huamini kuwa uasherati ni dhambi na mashahara wa dhambi ni mauti,yaani kifo na adhabu ya milele motoni,ila kama unaimani tofauti na hivyo basi hufanyi kosa,soo ninafsi yako na unavyo amini.
DAMBI NI UASI WA SHERIA......
na sheria nadhan ni zile amri za mungu, zile 10, na moja wapo inayosema usizini. Swali linabaki palepale, Je mwasherati anakuwa ametenda dhambi gan na baada ya kuasi sheria ama amri ipi?
 
Ungefurahi mtu akazini na dadako ama mamako (iwapo ni mjane)? Kwa sababu tu wamekubaliana kufanya hilo tendo. Huo ni uchafu. Na kutakuwa hakuna tofauti kati ya binadamu na mnyama.
Awkay,..i get the feeling,..[emoji23][emoji23],..ungeongeza na mtoto wangu wa kike,lol
 
[emoji122][emoji122][emoji122],..una point ya msingi...i think ku control parameters zote ili isiwe dhambi ni ngumu.sababu,.huyo dem unaefanya nae ukimwacha halaf ukaenda kwa mwingne na akajua,bas ugomvi utatokea,..kweli hapa naanza kupata kitu kuhusu hii kitu...inawezekana ni dhambi kweli..meaning kwa tendo hili kama sio dhamb bas people could be f**k like nobodys business.na kuachana na watu kupigana kila kukicha
 
kwa Mujibu wa Uislam Zinaa ni kujamiiana na Mtu ambae huna Mkataba nae wa kisheria kujamiiana ( Ndoa ya Kisheria kwa mujibu wa taratibu na kanuni za kiislam )
Awkay
 
Inategemeana na imani yako,kwa mfano mkristu au muislam huamini kuwa uasherati ni dhambi na mashahara wa dhambi ni mauti,yaani kifo na adhabu ya milele motoni,ila kama unaimani tofauti na hivyo basi hufanyi kosa,soo ninafsi yako na unavyo amini.
Kwahiyo wanaokufa wote wamefanya dhambi.wasinge fanya dhambi wasinge..... Dah imani hizi
 
Kama hauamini katika imani yeyote, basi ni halali yako kuona sio dhambi....
Hivo unaweza hata kuiba kisha ukaona sio dhambi kwasababu hukua nacho hivo umeiba umepata
Kuiba ni mfano tofauti na mada maana ukiiba umemuumiza mwingine yani kuna MTU umemkoosea
 
Tutajie hayo madhara kama matatu tu(kwa wasio wanandoa)
 
Watu ambao hawajao au kuolewa kufanya tendo la ndoa ni kufanya uasherati. Mwanamke au mwanamume aliyeoa kufanya ngono nje ya ndoa ni kufanya uzinzi.
 
Reactions: nao
Tatizo una judge vtu kwa mtazamo wako.
Wakati dini imekuja kumpa mwanadam mfumo kamili wa maisha.
Ingekua maisha ni kuamua,basi watu wangelala na mama zao,Dada zao n.k
Hata mababu zetu walikua na mfumo mzuri tu wa maisha na wala walikua hawalali na mama zao
 
Ungefurahi mtu akazini na dadako ama mamako (iwapo ni mjane)? Kwa sababu tu wamekubaliana kufanya hilo tendo. Huo ni uchafu. Na kutakuwa hakuna tofauti kati ya binadamu na mnyama.
Hujaeleweka.
 
Magonjwa hata ndani ya ndoa yanapatikana
 
Ndg unatia huruma dah ndo hvyo hatuwezi kuihalalisha japo ni tamu
 
Tutajie hayo madhara kama matatu tu(kwa wasio wanandoa)

1) Ongezeko la Watoto wa Mitaani

2) Kusambaa kwa Magonjwa ya Zinaaa

3) Kukosekana Mapenzi ya dhati/ uhakika. Ni sawa na kufanya Biashara na Mtu bila ya Mkataba Hata Kama unapata faida lakin Wasiwasi haukosekani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…