majoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,351
- 4,029
Magonjwa hata ndani ya ndoa yanapatikana
Ndio hapo chacha kijana mdogoooo, hujaoa/hujaolewa unaanza kuumwa magonjwa ya ndoani,,,kisa! kukukimbilia mambo.... kuzini.... kuvunja amri ya sita. wengine hata kwenda kutibiwa huwa shida inabidi ujifiche fiche kwa aibu maana hata wazazi wako watajua umezini....
Acheni uzinzi