Nini maama ya vidole viwili (The 'V' sign)?

Nini maama ya vidole viwili (The 'V' sign)?

984201_541891955856649_455914165_a.jpg


Haya ndugu yenu huyo na yeye anataka apate ajira ya kujadili vidole. endeleeni na mipasho yenu kulingana na uwezo wenu wa kayumba wa kufikiri yapi ya msingi kuyajadili
 
chama pinzani kinachoendesha serikali,mf. Katika utekelezaji wa sera zake kinawapatia watanzania katiba mpya
 
1005335_586819728030538_1177116424_a.jpg


Hivi kweli hatuna mambo ya msingi ya kujadili zaidi ya vidole!? sasa nimeamini maneno ya mh mbunge "kuwa tumefika hapa kutokana na udhaifu wa rai......na .....ya chama cha mafisadi (ccm)
 
Ndugu zanguni,

Zifuatazo ni baadhi tu ya maana ya vidole viwi wanavyotuonyeshaga makamanda

1. Chadema ina viongozi wawili tu maisha, Mbowe na Dr

2. Chadema ina aina mbili ya wanachama, wenye chama (wa kaskazini - priority) na wafuata upepo (wa mikoa mingine- second class)

3. Dr Slaa ana kadi mbili ya chadema na ya CCM

4. Chadema itakuwa always namba mbili kwenye chaguzi

5. Chadema ni kwa ajili Mikoa miwili ya Moshi na Arusha

Maana nyingine mtanisaidia

 
Pesa za RAMBI RAMBI ulizokula, chondechonde uzirudishe!!!!

Yaani zaidi ya 5mil wewe ukampa Msigwa 1mil!!!!?? Na kwann umpe Msigwa wakati kwa Mwangosi unapafahamu!!??? Yaani wewe ni mwizi "RUNKUNKU"!!!!
 
Ndugu zanguni,

Zifuatazo ni baadhi tu ya maana ya vidole viwi wanavyotuonyeshaga makamanda

1. Chadema ina viongozi wawili tu maisha, Mbowe na Dr

2. Chadema ina aina mbili ya wanachama, wenye chama (wa kaskazini - priority) na wafuata upepo (wa mikoa mingine- second class)

3. Dr Slaa ana kadi mbili ya chadema na ya CCM

4. Chadema itakuwa always namba mbili kwenye chaguzi

5. Chadema ni kwa ajili Mikoa miwili ya Moshi na Arusha

Maana nyingine mtanisaidia

bth_63701_108420225998779_1665208990_n.jpg

This Week Perspective
 
Ndugu zanguni,

Zifuatazo ni baadhi tu ya maana ya vidole viwi wanavyotuonyeshaga makamanda

1. Chadema ina viongozi wawili tu maisha, Mbowe na Dr

2. Chadema ina aina mbili ya wanachama, wenye chama (wa kaskazini - priority) na wafuata upepo (wa mikoa mingine- second class)

3. Dr Slaa ana kadi mbili ya chadema na ya CCM

4. Chadema itakuwa always namba mbili kwenye chaguzi

5. Chadema ni kwa ajili Mikoa miwili ya Moshi na Arusha

Maana nyingine mtanisaidia

bth_63701_108420225998779_1665208990_n.jpg
Mkuu jisikie huru kuanzia sasa hivi kutumia udr wa heshima kwa tafakuri yako yenye maana zaidi Dr Chilisosi
 
Si lazima kuokota makopo, kwani mawazo ya mtu yalivyo ndovyo na yeye alivyo
 
Nakichukia CDM Kama ninavyomchukia Shetani. Ni wadini sana hata 2010 walitumia sana kanisa lakini wapi wanashinda licha ya nguvu kubwa ya kanisa.

Hata Lissu statement yake dhidi ya JK ni full udini. CDM kwa kakumbatia dini Moja hamuwezi shida hii nchi hadi Massiah arudi

Kamuulize Lipumba ni chama gani kilitumia sana nyumba za ibada na sasa kimegeukwa. Alafu ukitaka kueleweka siku nyingine weka wazi ni kanisa lipi lilitumika ili wenye hilo kanisa wakusaidie uelewa.

Kuna watu walijinadi kuwatoa waislamu kwenye daraja la nne kimaisha mbona hamuwataji.

Hiki chama kweli ni tishio kwa MAJAMBAZI wa CCM.
 
hv aliandk huu uzi cjuy ana hoja gan ya msing,watu humu tunakuja kujfunza vtu mhm,.jns nch hii ilivykuw na matatz meng bad mtu anakuj na topic amby haina msaad wowt.,tena inawezkan ukiuliza elim yake utaambiwa ana masters na ni mkurugenz kwny taasis fulan tena ana umri mkubwa tu....huw nasktka sana.
 
mods hii ni siasa au upuuzi.mbona mnaacha watu wanaandika utumbo badala ya siasa!?
 
MODS hizi ni thread za kitoto..hazipaswi kukaa JF. Plz fanyeni kazi yenu.
 
5. Chadema ni kwa ajili Mikoa miwili ya Moshi na Arusha

MOSHI NI MKOA? kama hujui hata geography ya nchi yako, Je ni kitu gani unachofahamu?

Yale yale Mulugo Tanzania ni Muungano wa Tangayika na Zimbabwe! Kweli ma-CCM ni janga la Taifa
 
Back
Top Bottom