Nini maama ya vidole viwili (The 'V' sign)?

Nini maama ya vidole viwili (The 'V' sign)?

Ni vizuri ungeuliza kwenye Tawi ulilojiunga, maana humu kuna magamba na wasotea buku 7 wa Lumumba watakupotosha kama usipo wabaini. Ila kuna majibu mengi mazuri na ya kiungwana. Pia ni vizuri kusoma sera za CDM na kuzielewa usije potoshwa na magamba.

CCM sera zao na matendo yao ni sawa na kaskazini na kusini!
 
Salamu ya kidole gumba iliyokaa kama 'like' inamaanisha ishara ya CCM.

Nimekua nayo, nimeizoea nadhani hata wewe unaitumia mara kwa mara.

Ile ya kupanua vidole inamaanisha nini? Vile vile vipo vyama visivyo na ishara ya salamu sijui wanasalimianaje?

Hivi ya CUF ipoje? Ukigonga like kokote, umeitaja CCM hata kama hutaki.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
 
Salamu ya kidole gumba iliyokaa kama 'like' inamaanisha ishara ya CCM. Nimekua nayo, nimeizoea nadhani hata wewe unaitumia mara kwa mara. Ile ya kupanua vidole inamaanisha nini? Vile vile vipo vyama visivyo na ishara ya salamu cjui wanasalimianaje? Hv ya CUF ipoje? Ukigonga like kokote, umeitaja CCM hata kama hutaki.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
Ungempenda Muumba wako kwa kiwango hiki na kutii anachokuamuru ungekua mbali mno kiroho.
 
Salamu ya kidole gumba iliyokaa kama 'like' inamaanisha ishara ya CCM.

Nimekua nayo, nimeizoea nadhani hata wewe unaitumia mara kwa mara.

Ile ya kupanua vidole inamaanisha nini? Vile vile vipo vyama visivyo na ishara ya salamu sijui wanasalimianaje?

Hivi ya CUF ipoje? Ukigonga like kokote, umeitaja CCM hata kama hutaki.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.

Una tatizo !
Yaani unaiwazia ccm kuliko hata mumewako !!??
 
It means V Victory !
-In view, a humble vaudevillian veteran cast vicariously as both victim and villain by the vicissitudes of Fate. This visage, no mere veneer of vanity, is a vestige of the vox populi, now vacant, vanished. However, this valourous visitation of a bygone vexation stands vivified and has vowed to vanquish these venal and virulent vermin vanguarding vice and vouchsafing the violently vicious and voracious violation of volition! The only verdict is vengeance not in vain, for the value and veracity of such shall one day vindicate the vigilant and the virtuous. Verily, this vichyssoise of verbiage veers most verbose.
Thanks!
 
Salamu ya kidole gumba iliyokaa kama 'like' inamaanisha ishara ya CCM.

Nimekua nayo, nimeizoea nadhani hata wewe unaitumia mara kwa mara.

Ile ya kupanua vidole inamaanisha nini? Vile vile vipo vyama visivyo na ishara ya salamu sijui wanasalimianaje?

Hivi ya CUF ipoje? Ukigonga like kokote, umeitaja CCM hata kama hutaki.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.

Kidumu CHAMA TAWALA.
 

Attachments

  • 1416017010968.jpg
    1416017010968.jpg
    39.4 KB · Views: 417
It means V Victory !
-In view, a humble vaudevillian veteran cast vicariously as both victim and villain by the vicissitudes of Fate. This visage, no mere veneer of vanity, is a vestige of the vox populi, now vacant, vanished. However, this valourous visitation of a bygone vexation stands vivified and has vowed to vanquish these venal and virulent vermin vanguarding vice and vouchsafing the violently vicious and voracious violation of volition! The only verdict is vengeance not in vain, for the value and veracity of such shall one day vindicate the vigilant and the virtuous. Verily, this vichyssoise of verbiage veers most verbose.
Thanks!

ndo kitu gani hiki kama siyo freemansory?
 
Salamu ya kidole gumba iliyokaa kama 'like' inamaanisha ishara ya CCM.

Nimekua nayo, nimeizoea nadhani hata wewe unaitumia mara kwa mara.

Ile ya kupanua vidole inamaanisha nini? Vile vile vipo vyama visivyo na ishara ya salamu sijui wanasalimianaje?

Hivi ya CUF ipoje? Ukigonga like kokote, umeitaja CCM hata kama hutaki.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.

Alama ya chadema ina,maana,mbili
1.revolution hii hutumiwa na,wanarevolution wote najua utakua ushawai kuona ata wale waandamanaji wa misri,libya ,burkinafaso na,nchi zingine huonesha alama,hiyo
2.ni alama ya amani na upande angalia kina bob marley na lucky dube na,marasta man wote wanatumia alama hiyo kazi kwako kuwaambia na wenzako kama wewe wenye mtazamo hasi juu ya alama
Angalizo alama sio uongozi bali uongozi ni vitendo
NOTE:alama ya,ccm ya kidole gumba alianzishwa miaka hiyo kipindi cha mfumo wa chama kimoja ikiimaanisha «like» au «vema » au tiki maana yake ilikua ni kuhimiza wanaanchi wakaweke tiki au vema kwenye picha ya nyerere lakini sio unavyodhani wewe kwaiyo cku hizi alama hiyo haina maana tena ndoo maana hawaitumii sana
 
Alama ya chadema ina,maana,mbili
1.revolution hii hutumiwa na,wanarevolution wote najua utakua ushawai kuona ata wale waandamanaji wa misri,libya ,burkinafaso na,nchi zingine huonesha alama,hiyo
2.ni alama ya amani na upande angalia kina bob marley na lucky dube na,marasta man wote wanatumia alama hiyo kazi kwako kuwaambia na wenzako kama wewe wenye mtazamo hasi juu ya alama
Angalizo alama sio uongozi bali uongozi ni vitendo
NOTE:alama ya,ccm ya kidole gumba alianzishwa miaka hiyo kipindi cha mfumo wa chama kimoja ikiimaanisha «like» au «vema » au tiki maana yake ilikua ni kuhimiza wanaanchi wakaweke tiki au vema kwenye picha ya nyerere lakini sio unavyodhani wewe kwaiyo cku hizi alama hiyo haina maana tena ndoo maana hawaitumii sana

revolution na amani ni maneno mawili yanayopingana, bado hujasomeka
 
Salamu ya kidole gumba iliyokaa kama 'like' inamaanisha ishara ya CCM.

Nimekua nayo, nimeizoea nadhani hata wewe unaitumia mara kwa mara.

Ile ya kupanua vidole inamaanisha nini? Vile vile vipo vyama visivyo na ishara ya salamu sijui wanasalimianaje?

Hivi ya CUF ipoje? Ukigonga like kokote, umeitaja CCM hata kama hutaki.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.

Mbona huzungumzii nyundo iliyopo kwenye bendera yenu? Je unajua nyundo hiyo ni ya kipekee maana ina sehemu ya kugongea msumali tu haina sehemu ya kung'olea msumali. Maana yake akili za wajinga kama wewe zitaendelea kugongwa na nyundo hii mpaka kiama hata kama hospitali hakuna madawa, barabara mbovu,elimu inazidi kuporomoka, rushwa ndio njia ya kutatua matatizo polisi na mahospitali, wezi wa kuku wanachomwa moto lakini mtu kama Lowasa mwizi kupitia Richmond anapigiwa chepuo awe Rais...........yote haya huwezi yajua maana nyundo ishafanya kazi
 
Salamu ya kidole gumba iliyokaa kama 'like' inamaanisha ishara ya CCM.

Nimekua nayo, nimeizoea nadhani hata wewe unaitumia mara kwa mara.

Ile ya kupanua vidole inamaanisha nini? Vile vile vipo vyama visivyo na ishara ya salamu sijui wanasalimianaje?

Hivi ya CUF ipoje? Ukigonga like kokote, umeitaja CCM hata kama hutaki.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.

We vp !?umekosa la kuzungumza ?? Unatuletea upuuzi wa ccm .wakati waTanzania wapo katika hali mbaya hata mlo moja ni issue kumbwa !# Ebu ondoa upuuzi wako .WaTz tunataka maendeleo cyo ufisadi uliokithiri ndani ya serikali ya ccm .kila corner tunasiki wezi wa fedha za Mtanzania .kwenye maliasilia ni wezi ,halmashauri wezi ni ovyo tu kila corner ,sasa hv biliioni 200 za watanzania mmezichota na kugawana nyinyi kwa nyinyi wakati watz hawana madawa hospitalin,shule hazina madawati ,Ajira hakuna ,kula kwa mtz ni issue ,wakulima wanalima hakuna masoko .serikali haimjari mwananchi kabisa .ONDOKA NA UFISADI WA CCM .HATUTAKI HATA KUSKIA HATA KIDOGO CCM NA HATA NAJICKIA HASIRA SANA NIKIONA BENDERA ZENU NA YALE MAGWANDA YENU KWA NJINSI MNAVYOIBA MALI ZA WATZ NA UFISADI ULIOKITHIRI.CYO WAZARENDO KWA WATZ .NYINYI WACHUMIA MATUMBO YENU NA WATOTO WENU.IDUMU TANZANIA
 
Salamu ya kidole gumba iliyokaa kama 'like' inamaanisha ishara ya CCM.

Nimekua nayo, nimeizoea nadhani hata wewe unaitumia mara kwa mara.

Ile ya kupanua vidole inamaanisha nini? Vile vile vipo vyama visivyo na ishara ya salamu sijui wanasalimianaje?

Hivi ya CUF ipoje? Ukigonga like kokote, umeitaja CCM hata kama hutaki.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.

Umeshauriwa kumtii na kumpenda namna hii MUMEO
 
V = Victory
voctory maana yake ni ushindi.hivyo CDM wanaamini iko siku watashinda katika harakati zao za kupigania haki.
 
It means V Victory !
-In view, a humble vaudevillian veteran cast vicariously as both victim and villain by the vicissitudes of Fate. This visage, no mere veneer of vanity, is a vestige of the vox populi, now vacant, vanished. However, this valourous visitation of a bygone vexation stands vivified and has vowed to vanquish these venal and virulent vermin vanguarding vice and vouchsafing the violently vicious and voracious violation of volition! The only verdict is vengeance not in vain, for the value and veracity of such shall one day vindicate the vigilant and the virtuous. Verily, this vichyssoise of verbiage veers most verbose.
Thanks!

V=virgin
 
salamu ya kidole gumba iliyokaa kama 'like' inamaanisha ishara ya ccm.

Nimekua nayo, nimeizoea nadhani hata wewe unaitumia mara kwa mara.

Ile ya kupanua vidole inamaanisha nini? Vile vile vipo vyama visivyo na ishara ya salamu sijui wanasalimianaje?

Hivi ya cuf ipoje? Ukigonga like kokote, umeitaja ccm hata kama hutaki.

Kidumu chama cha mapinduzi.

zidumu fikra za mwenyekiti hatakama ni za kijinga
 
Waungwana wanajf nawasalimu kwanza...mimi ni mwanachama mpya wa chadema lakini kuna vitu vikubwa viwili sivielewi ,
1-logo ya chadema ya vidole viwili ina maana gani?na nani aliamua iwekwe pale?

2-rangi katika bendera ya chadema ile blue,white na red zina mana gani?na kabla ya hapo walikuwa na rangi zipi ktk bendera yao.

Mkuu wa jamvi nawasilisha kwa uchambuzi yakinifu ndani ya jf.

Alama ya V inamaanisha shetani yaani yaani Pembe mbili ni ALAMA Ya shetani
 
Salamu ya kidole gumba iliyokaa kama 'like' inamaanisha ishara ya CCM.

Nimekua nayo, nimeizoea nadhani hata wewe unaitumia mara kwa mara.

Ile ya kupanua vidole inamaanisha nini? Vile vile vipo vyama visivyo na ishara ya salamu sijui wanasalimianaje?

Hivi ya CUF ipoje? Ukigonga like kokote, umeitaja CCM hata kama hutaki.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.

Unasema Kidumu Chama Cha Mapinduz Badala Ya Chama Cha Mafisadi,chama Cha Majingili Wa Tembo,chama Cha Mab..... Na Kadhalika Namuombea Warioba Yacje Yakamkuta Ya Proffesor Wa Kutalii Dunia A.k.a Bwana Vasco Dagama
 
Back
Top Bottom