kochakindo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 784
- 531
Alama ya V inamaanisha shetani yaani yaani Pembe mbili ni ALAMA Ya shetani
umesha sema v pembe yanini tena?
Alama ya V inamaanisha shetani yaani yaani Pembe mbili ni ALAMA Ya shetani
mkuu wewe unajua kiwangu changu cha kumpenda Mungu? Maswali yangu ungeyajibu kwanza
umesha sema v pembe yanini tena?
Unasoma darasa la ngapi? Maana tusijekua tunapoteza muda humu kujibu hoja za watoto wa msingi.
Vidole viwili ni mambo mawili DEMOKRASIA na MAENDELEO.
Thread closed.
1. Bendera ya CHADEMA ina rangi nne: Nyeusi, Bluu isiyokoza (light blue), nyeupe na nyekundu.habar zenu wana jf. Natumain nyote ni wazima wa afya. Leo nilikuwa nashuhudia kampen zinazoendelea katika chaguzi hizi za serikali za mitaa huku kwetu kigoma, ghafla jamaa mmoja akamuuliza mgombea uenyekiti wa chadema amwambie maana ya ishara ya vidole viwili inayotumiwa na chadema hapo vumbi likatimka na majibu sahihi hayakujulikana. Sasa swala hili limenichanganya. Jaman nini maana ya vidole viwili vitumiwavyo na chadema? Nawasilisha!
habar zenu wana jf. Natumain nyote ni wazima wa afya. Leo nilikuwa nashuhudia kampen zinazoendelea katika chaguzi hizi za serikali za mitaa huku kwetu kigoma, ghafla jamaa mmoja akamuuliza mgombea uenyekiti wa chadema amwambie maana ya ishara ya vidole viwili inayotumiwa na chadema hapo vumbi likatimka na majibu sahihi hayakujulikana. Sasa swala hili limenichanganya. Jaman nini maana ya vidole viwili vitumiwavyo na chadema? Nawasilisha!
Ndugu,illuminants wa free marson ndo wakina nani hao?Ni moja ya alama za ILLUMINANTS wa FREE MARSON.
![]()
![]()
![]()
Waungwana wanajf nawasalimu kwanza...mimi ni mwanachama mpya wa chadema lakini kuna vitu vikubwa viwili sivielewi ,
1-logo ya chadema ya vidole viwili ina maana gani?na nani aliamua iwekwe pale?
2-rangi katika bendera ya chadema ile blue,white na red zina mana gani?na kabla ya hapo walikuwa na rangi zipi ktk bendera yao.
Mkuu wa jamvi nawasilisha kwa uchambuzi yakinifu ndani ya jf.