Serikali ya Tz ilishafilisika zamani tu, coz tunajulikana kwa kuomba misaada nje ya nchi, sasa sijui matangazo gani unayosubiri mkuu. Waswahili wakwambia kama hujui soma, hata picha huoni?
Wamarekani na waingereza watafurka kutoa misaada kwa masharti ya kupewa ardhi na maeneo yenye madini, then.......mkataba wa Camerooon utasiniwa kiulainiiiiiiiiii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.