Zillion
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 1,358
- 1,807
Kumekuwa na uhaba mkubwa wa fedha za kigeni hapa Tanzania hasa USD ambayo ndio hutumika sana kwa malipo kwa biashara za kimataifa.
Pamoja na kupanda kwa dola na kushuka kwa shilingi kutoka 2375 mpaka 2405 bado imekuwa shida sana kupatikana.
Kwanza ilianza mabenki kuweka ukomo wa kununua dola mpaka 5000 USD pekee. Na sasa wameweka ukomo wa 1000 USD pekee.
Maduka ya kubadilisha fedha za kigeni hakuna dola, Benki hazina dola, wafanyabiashara hawana dola Serikali iko kimya na hakuna hatua za dharura zinazochukulia kunusuru hali hii mbaya kiuchumi.
Sasahivi ukihitaji dola 30,000 inabidi uzunguke kwenye mabenki karibu mwezi mzima ili kuzipata
Hali hii imekuwa changamoto sana kwa wafanyabiashara (Waagizaji)
Nauliza hii nchi tuna Serikali?!
==
Pia soma, Kufuatia upungufu wa dola, BoT yatoa maelekezo ya kudhibiti Viwango Vya Miamala
Pamoja na kupanda kwa dola na kushuka kwa shilingi kutoka 2375 mpaka 2405 bado imekuwa shida sana kupatikana.
Kwanza ilianza mabenki kuweka ukomo wa kununua dola mpaka 5000 USD pekee. Na sasa wameweka ukomo wa 1000 USD pekee.
Maduka ya kubadilisha fedha za kigeni hakuna dola, Benki hazina dola, wafanyabiashara hawana dola Serikali iko kimya na hakuna hatua za dharura zinazochukulia kunusuru hali hii mbaya kiuchumi.
Sasahivi ukihitaji dola 30,000 inabidi uzunguke kwenye mabenki karibu mwezi mzima ili kuzipata
Hali hii imekuwa changamoto sana kwa wafanyabiashara (Waagizaji)
Nauliza hii nchi tuna Serikali?!
==
Pia soma, Kufuatia upungufu wa dola, BoT yatoa maelekezo ya kudhibiti Viwango Vya Miamala