Nini kinamsibu William John Malecela?

Nini kinamsibu William John Malecela?

Mtu anaishi US, pesa ameipata US, kodi ilipwe Tanzania ili iweje?.
Diasphora ikishakuwa in place, tutaweza kupata angalau urari wa money transfer kuja home, kodi inakatwa huko huko fedha zinakotoka, msaada kwa Tanzania, utapimwa kwa jumla ya kiasi cha fedha as forex gain na chochote fedha hizo zitakafanyia nchini, zitakatwa 18% VAT kwenye expenditure hivyo serikali itapata kodi.

You should have been an Attorney if you aren't
 
Tena Pasco hadi anamfungulia thread ili 'tumjadili'... Tamaa ya vibaasha inasumbua sana...
Huwa sifungulii watu thread, au zileti thread za ku discuss watu, huwa na discuss issues!. Thread ile inahusu CCM kutawala kwa miaka 50 tena, hivyo kutawala kwa jumla ya miaka 100!.
 
Mama wa kambo kafanya mambo
LE MUTUZ
LE BAHARIA
BIIG SHOOO!!!!!!!!!!!!!!!!! @KIVUKONI
DSM
TANZANIA
 
Muulize mtu yeyote aliyezaliwa katika maeneo yanayopakana na ziwa Victoria(nchi zote tatu), wote tunaamini kazi yoyote inayohusu uvuvi hata kama una Phd ya Marine Biology na unafanya kazi kwenye maji basi lazima akili zako ziwe za kivuvi (zuzu). Jamaa lazima afuate mkondo, wavuvi akili zao zimo kama hazimo!
 
Uboho( bone marrow) wako mzuri....kila siku JF inamjadili Kikwete je yeye si mtu?

No wonder umepost vapour kama hiyo kumbe unafikiri kwa kutumia Uboho, (bone marrow) badala ya gray matter, (Brains)?! just compare and contrast; JK is a public entity, prezo of the republic for that matter whose actions and decisions do affect our lives in one way or the other; how do you compare JK and WJM, who is WJM in as far as the ordinary tanzania citizen is concerned?! kama sio alzheimers imekomaa!?? stretch you brains a little further, unaweza kuwa na mchango mzuri zaidi kwenye forum katika siku za usoni!!!!!!!!!!!!!teh teh teh
 
No wonder umepost vapour kama hiyo kumbe unafikiri kwa kutumia Uboho, (bone marrow) badala ya gray matter, (Brains)?! just compare and contrast; JK is a public entity, prezo of the republic for that matter whose actions and decisions do affect our lives in one way or the other; how do you compare JK and WJM, who is WJM in as far as the ordinary tanzania citizen is concerned?! kama sio alzheimers imekomaa!?? stretch you brains a little further, unaweza kuwa na mchango mzuri zaidi kwenye forum katika siku za usoni!!!!!!!!!!!!!teh teh teh

Nilikuwa simaanishi uboho( bone marrow) bali kiungo cha uzazi kinachofanana na jina hilo...kwi kwi kwi kwi
 
Nilikuwa simaanishi uboho( bone marrow) bali kiungo cha uzazi kinachofanana na jina hilo...kwi kwi kwi kwi

Ni yale yale; nimekuelewa sana tangia awali! no wonder unajadili watu badala ya ideas una substandard IQ ndio maana unaweza kutumia that kind of language kwenye public forum; jiheshimu utaheshimika. najua umeathiriwa na shule za kata, no school at all.
 
aaaah "stupid minds discuss people"

Umaarufu wake ama umashuhuri wake ni nini hasa hadi watu wamdiscuss humu ndani? Mwacheni na mambo yake...labda aombe msaada mwenyewe.

No way hii haijakaa vizuri. Mara ataanza mtu mwingine..wajua Mzee mwanakijiji siku hizi...aaaah kweliii?
 
_MG_8423.JPG
 
Ni yale yale; nimekuelewa sana tangia awali! no wonder unajadili watu badala ya ideas una substandard IQ ndio maana unaweza kutumia that kind of language kwenye public forum; jiheshimu utaheshimika. najua umeathiriwa na shule za kata, no school at all.
ambazo ndio watanzania wengi wanasoma...usingekuwa ufisadi wa babako usingejua hata kuandika
 
Nimefuatilia kwa karibu mwenendo wa rafiki yetu William John Malecela katika mitandao mbalimbali ya kijamii na kushindwa kutoa hitimisho juu ya nini kinachomsibu kwa sasa. Nilimfahamu William kama msomi mzuri tena wa sayansi ya mambo ya bahari, kijana mwenye maono yanayolingana na ya baba yake mzee John Samwel Malecela ambaye sikuwa na shaka angefuata nyayo za uongozi kutoka kwa baba yake. Ninayoona kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii siamini kama ni mambo yanayofanywa na william niliyemfahamu. William alikuwa New york city anafanya kazi nzuri sana inayompa mshahara si chini ya dola 10,000 kwa mwezi leo hii nakuja kusikia yuko hapa anazunguka tu na kupiga picha na vischana je nini hasa kimemtokea william? maoni yake mbalimbali humu JF yanaashiria ni kama mtu aliyekata tamaa je tufanyeje kumsaidia ndugu yetu huyu ili arudi kwenye hali yake ya kawaida? naongea kwa dhati na asitokee mtu hata mmoja kupinga hoja hii

- Naona watu wamekujibu vizuri sana wala sina la kuongeza wala kupunguza ila nakuonea huruma sana, kwanza kule Facebook uliniomba na wewe unawataka wasichana ninao hangout nao, uka-misbehave niKAku-delete sasa umehamia huku na maneno kama haya, pole sana mkuu!! Halafu angalia usije ukavalishwa shanga kiunoni mjini hapa maana sijawahi kulipwa hizo hela ulizosema, huo ndio ushambenga ambao wanaume huwa wanaishia kuvalishjwa shanga na kanga mjini hapa!!

- Karibu siku ya Jumamosi ijayo nimealikwa kuhutubia Mkutano wa Viongozi wa Makanisa nchini kule Ubungo, na Jumamosi ya keshokustwa nitakuwa Obey kuendesha Fundraising ya watoto wa Yatima Dodoma, leo nitakuwa Radio Classic FM kuchambua tena siasa za Taifa,

- FINALLY, NIMEELEWA MAANA YA MANENO YA MKOSAJI!!

LE MUTUZ BIIIG SHOOW!!
 
Ni kwa sababu baba alikuwa mwanasiasa hivyo mwana naye anajaribu kulazimisha kuingia kwenye siasa hata kama hana haiba ya kuwa mwanasiasa.
 
Back
Top Bottom