Nini kinamsibu William John Malecela?

- Naona watu wamekujibu vizuri sana wala sina la kuongeza wala kupunguza ila nakuonea huruma sana, kwanza kule Facebook uliniomba na wewe unawataka wasichana ninao hangout nao, uka-misbehave niKAku-delete sasa umehamia huku na maneno kama haya, pole sana mkuu!! Halafu angalia usije ukavalishwa shanga kiunoni mjini hapa maana sijawahi kulipwa hizo hela ulizosema, huo ndio ushambenga ambao wanaume huwa wanaishia kuvalishjwa shanga na kanga mjini hapa!!

- Karibu siku ya Jumamosi ijayo nimealikwa kuhutubia Mkutano wa Viongozi wa Makanisa nchini kule Ubungo, na Jumamosi ya keshokustwa nitakuwa Obey kuendesha Fundraising ya watoto wa Yatima Dodoma, leo nitakuwa Radio Classic FM kuchambua tena siasa za Taifa,

- FINALLY, NIMEELEWA MAANA YA MANENO YA MKOSAJI!!

LE MUTUZ BIIIG SHOOW!!

hao viongozi wa kanisa bora kama hawapiti humu ndani..!!!
 
Mkuu William.
'huyo' jamaa alipoomba umuunganishe kwa hao 'mademu', ina maana wewe ni KUWADI au vp?
Pili, una-misbehave sana kwa kuandika mambo ya 'utumbo' humu jf. Nakushauri kama vipi rudi USA, kaendelee kupiga box, mambo ya ukuwadi hayana ishu mkuu...
 
Wewe isikie tu usa kuna raia wake wengi tu hawana kazi kwa kifupi hizo $10000 kwa mwezi ni ngumu sana kuzipata kwa taarifa yako kuna watz wengi tu huku hata kusave $500 kwa mwezi hawawezi na bado wanaishi maisha duni kuna jamaa yupo huku mwaka wa nne sasa hata ukimwambia kesho anatakiwa akate ticket kurudi bongo hawezi chezea us wewe kwa kifupi us labda uwe na makaratasi na uamue kufanya maisha yako hapa kidogo ni nitambarare not otherwise

Nyani ngabu na chama kuweni wakweli kuna watu hawaijui us vizuri kama una kazi bongo inakulipa unaweza ukaendesha maisha yako vizuri na kufanya kitu kingine extra komaa tu utatoka lakini ukija kichwa kichwa utaumia kwa taarifa zenu wengi waliyopo us hawawezi rudi home kwa sababu kazi tunazofanya huku huwezi kuzifanya home land
 
Who the hell is William Malecela hadi tupoteze muda wetu kumjadili? Ana influence gani au interest gani kwa nchi yetu. Ni nani hasa? Mlipa kodi mkubwa wa nchi? Kiongozi mwenye influence kwa maisha ya watanzania? Ni nani huyu? Kama mnamjadili kila mtu, mbona hamjanifungulia thread na mimi?
 
Nimefuatilia kwa karibu mwenendo wa rafiki yetu William John Malecela katika mitandao mbalimbali ya kijamii na kushindwa kutoa hitimisho juu ya nini kinachomsibu kwa sasa. Nilimfahamu William kama msomi mzuri tena wa sayansi ya mambo ya bahari, kijana mwenye maono yanayolingana na ya baba yake mzee John Samwel Malecela ambaye sikuwa na shaka angefuata nyayo za uongozi kutoka kwa baba yake. Ninayoona kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii siamini kama ni mambo yanayofanywa na william niliyemfahamu. William alikuwa New york city anafanya kazi nzuri sana inayompa mshahara si chini ya dola 10,000 kwa mwezi leo hii nakuja kusikia yuko hapa anazunguka tu na kupiga picha na vischana je nini hasa kimemtokea william? maoni yake mbalimbali humu JF yanaashiria ni kama mtu aliyekata tamaa je tufanyeje kumsaidia ndugu yetu huyu ili arudi kwenye hali yake ya kawaida? naongea kwa dhati na asitokee mtu hata mmoja kupinga hoja hii

Sioni tofafuti ya Pascal Mayalla na W.J. Malecela wote wanatafuta cheap popularity humu. Nimuonavyo Malecela hawatofautiani na Mayalla kwani kazi yao kujipendekeza kwa CCM ili wapate angalau Ukuu wa Wilaya.
 
- Naona watu wamekujibu vizuri sana wala sina la kuongeza wala kupunguza ila nakuonea huruma sana, kwanza kule Facebook uliniomba na wewe unawataka wasichana ninao hangout nao, uka-misbehave niKAku-delete sasa umehamia huku na maneno kama haya, pole sana mkuu!! Halafu angalia usije ukavalishwa shanga kiunoni mjini hapa maana sijawahi kulipwa hizo hela ulizosema, huo ndio ushambenga ambao wanaume huwa wanaishia kuvalishjwa shanga na kanga mjini hapa!!

- Karibu siku ya Jumamosi ijayo nimealikwa kuhutubia Mkutano wa Viongozi wa Makanisa nchini kule Ubungo, na Jumamosi ya keshokustwa nitakuwa Obey kuendesha Fundraising ya watoto wa Yatima Dodoma, leo nitakuwa Radio Classic FM kuchambua tena siasa za Taifa,

- FINALLY, NIMEELEWA MAANA YA MANENO YA MKOSAJI!!

LE MUTUZ BIIIG SHOOW!!

unajua mtu mshamba anapojaribu kufanya jambo flani ilia aonekane ni mjanja ndio huwa anazidi kuharibu na kuonekana mshamba maradufu, aisee ni bora usingejibu hii thread kwani umezidi kuonyesha ni jinsi gani usivyo na maana.
 
Watu wengi wanafanya vitu kwa kufikiria karibu sana, jamaa ana malengo ya mbali sana, kwanza anatengeneza popularity. then action. tatizo la watu wengi huwa wanaanza na action moja kwa moja na ndio maana mna fail.
 
unajua mtu mshamba anapojaribu kufanya jambo flani ilia aonekane ni mjanja ndio huwa anazidi kuharibu na kuonekana mshamba maradufu, aisee ni bora usingejibu hii thread kwani umezidi kuonyesha ni jinsi gani usivyo na maana.
Mkuu kwa tafsiri yako ww, ushamba ni nini, na ujanja ni upi?
 
Wewe isikie tu usa kuna raia wake wengi tu hawana kazi kwa kifupi hizo $10000 kwa mwezi ni ngumu sana kuzipata kwa taarifa yako kuna watz wengi tu huku hata kusave $500 kwa mwezi hawawezi na bado wanaishi maisha duni kuna jamaa yupo huku mwaka wa nne sasa hata ukimwambia kesho anatakiwa akate ticket kurudi bongo hawezi chezea us wewe kwa kifupi us labda uwe na makaratasi na uamue kufanya maisha yako hapa kidogo ni nitambarare not otherwise

Mkuu poleni sana duh in fact nilianzisha thread hii lengo nilitaka kujua hali ya maisha ya baadhi ya watanzania huko US...huyu LE MUTUZ alikuwa ni kama mfano tu....hata hivyo...mtu anaenda US without papers should be able to appreciate the consequences of his actions...Tanzania haiko vitani ni yeye ndiye amechagua kwenda kuosha vyombo, kusafisha sehemu za kukojolea, kubeba maboksi IT'S MENTAL SLAVERY....why would you do degrading jobs abroad in the first place...mimi nimefika US nilisikitishwa sana na hali ya weusi wanaotoka africa hata mweusi mmarekani anatuzarau sana. halaf hata uwe na nini nchi ya watu ni nchi ya watu tu. kuwa mweusi ni tatizo huko...

Nyani ngabu na chama kuweni wakweli kuna watu hawaijui us vizuri kama una kazi bongo inakulipa unaweza ukaendesha maisha yako vizuri na kufanya kitu kingine extra komaa tu utatoka lakini ukija kichwa kichwa utaumia kwa taarifa zenu wengi waliyopo us hawawezi rudi home kwa sababu kazi tunazofanya huku huwezi kuzifanya home land


Mkuu poleni sana duh in fact nilianzisha thread hii lengo nilitaka kujua hali ya maisha ya baadhi ya watanzania huko US...huyu LE MUTUZ alikuwa ni kama mfano tu....hata hivyo...mtu anaenda US without papers should be able to appreciate the consequences of his actions...Tanzania haiko vitani ni yeye ndiye amechagua kwenda kuosha vyombo, kusafisha sehemu za kukojolea, kubeba maboksi IT'S MENTAL SLAVERY....why would you do degrading jobs abroad in the first place...mimi nimefika US nilisikitishwa sana na hali ya weusi wanaotoka africa hata mweusi mmarekani anatuzarau sana. halaf hata uwe na nini nchi ya watu ni nchi ya watu tu. kuwa mweusi ni tatizo huko...
 
kama nimekufahamu vizuri umeona kuna kitu ndani yake kinacho msumbua na ndio maana anafanya mambo ya hovyo.Please anayejua assist
Hili linalomkuta William Malecela ni jambo la kawaida sana kwa Mabaharia wengi kuwatokea,sina haja ya kumjadili William lakini ninachotaka kueleza ni lile tatizo la Mabaharia wanalokutana nalo baada ya kufanya kazi ya Ubaharia kwa muda mrefu bila ya kupata muda wa kupumzika.Kazi za Ubaharia ni ngumu kwa kuwa mazingira yako unayofanyia kazi yanakuwa hayajatulia na ni kwenye maji,sisi binadamu wote kwenye masikio yetu kuna vimfereji vidogo pamoja na kazi kubwa ya kutuwezesha kusikia lakini vimfereji hivyo vina kazi ya kuufanya mwili wetu uwe unaweza kujimudu kwa sisi kusimama wima,sasa kinachotokea ni kuwa unapofanya kazi ya Ubaharia kwa muda mrefu unapunguza uwezo wa vimfereji hivi vilivyo masikioni kuweza kuumudu mwili wako kusimama wima na hii inatokana na ile hali ya kuyumba yumba wakati Meli inatembea kwenye maji, mfano kama kuna mtu ambae amewahi kusafiri kwa Meli hata kwa safari fupi tu ya Dar mpaka Zanzibar kwa ule muda utakao kuwa ndani ya Meli kama siyo mzoefu utakuwa unajisikia hovyo hovyo hata unaweza kutapika na kushindwa kutembea ukiwa Melini na unapokuja kuteremka ile hali ya kujihisi kizungu zungu huwa inaendelea angalau kwa siku tatu na ndiyo inakwisha sasa kwa mtu kama Willium ambae kazi yake huwa ni kwenye Meli muda wote athali zake huwa ni kubwa sana na akili huwa inavurugika pia wafanyakazi wengi wa kwenye Meli huwa wanatawaliwa sana na upweke kwa kukaa mbali na familia zao hivyo inashauriwa pindi Baharia anapofanya kazi kwa muda wa miaka 3 basi anatakiwa apumzike bila kufanya kazi zinazohusiana na mabo ya Ubaharia kwa muda wa miezi 6 ndiyo arudi tena kwenye kazi yake bila kufanya hivyo muda siyo mrefu atakuwa KICHAA tena wa kuokota makopo kabisaa,hivyo bwana Willium ana kabiliwa na hali hii tusimbeze bali tumwache apumzike hili ni tatizo la kiafya. Nina imani nimeeleweka.
 
Mkuu Hemed.
Nashukuru kwa scientific explainations juu ya 'ukichaa' wa huyu mwana JF mwenzetu. Hata mimi tokaa mwanzoni nilikuwa nasema huyu jamaa hayuko vizuri kichwana, lakini kinachonisikitisha zaidi ni jamaa kujihusisha na mambo ya kikuwadi, kutoka ubaaria mpaka ukuwadi... Inasikitisha!!!
 
Binadamu ni kama maua,wanafamilia tupeni taarifa kamili kuhusu Tinga Tinga la zamani.
 
Hili linalomkuta William Malecela ni jambo la kawaida sana kwa Mabaharia wengi kuwatokea,sina haja ya kumjadili William lakini ninachotaka kueleza ni lile tatizo la Mabaharia wanalokutana nalo baada ya kufanya kazi ya Ubaharia kwa muda mrefu bila ya kupata muda wa kupumzika.Kazi za Ubaharia ni ngumu kwa kuwa mazingira yako unayofanyia kazi yanakuwa hayajatulia na ni kwenye maji,sisi binadamu wote kwenye masikio yetu kuna vimfereji vidogo pamoja na kazi kubwa ya kutuwezesha kusikia lakini vimfereji hivyo vina kazi ya kuufanya mwili wetu uwe unaweza kujimudu kwa sisi kusimama wima,sasa kinachotokea ni kuwa unapofanya kazi ya Ubaharia kwa muda mrefu unapunguza uwezo wa vimfereji hivi vilivyo masikioni kuweza kuumudu mwili wako kusimama wima na hii inatokana na ile hali ya kuyumba yumba wakati Meli inatembea kwenye maji, mfano kama kuna mtu ambae amewahi kusafiri kwa Meli hata kwa safari fupi tu ya Dar mpaka Zanzibar kwa ule muda utakao kuwa ndani ya Meli kama siyo mzoefu utakuwa unajisikia hovyo hovyo hata unaweza kutapika na kushindwa kutembea ukiwa Melini na unapokuja kuteremka ile hali ya kujihisi kizungu zungu huwa inaendelea angalau kwa siku tatu na ndiyo inakwisha sasa kwa mtu kama Willium ambae kazi yake huwa ni kwenye Meli muda wote athali zake huwa ni kubwa sana na akili huwa inavurugika pia wafanyakazi wengi wa kwenye Meli huwa wanatawaliwa sana na upweke kwa kukaa mbali na familia zao hivyo inashauriwa pindi Baharia anapofanya kazi kwa muda wa miaka 3 basi anatakiwa apumzike bila kufanya kazi zinazohusiana na mabo ya Ubaharia kwa muda wa miezi 6 ndiyo arudi tena kwenye kazi yake bila kufanya hivyo muda siyo mrefu atakuwa KICHAA tena wa kuokota makopo kabisaa,hivyo bwana Willium ana kabiliwa na hali hii tusimbeze bali tumwache apumzike hili ni tatizo la kiafya. Nina imani nimeeleweka.
Kiongozi hemed nimekupata....ndugu yetu tumwache apumzike....ila swala la kuwa na familia na watoto pia lingesaidia sana kumtuliza maana watoto huwa wanachangamka sana...kwa picha ninayoipata huyu bwana hajaoa nadhani ndo maana ana tamper na visister du vikina sinta anyways pole mkuu wile aka Ze mutuz biiig shoo!!!
 
Nhisi kama aliahidiwa cheo kikubwa serikalini sasa amekikosa na ana msongo wa mawazo na anaona ni bora kukimbilia wanawake kama faraja yake. Hatuwezi kumsaidia kwa lolote zaidi ya yeye kuamua ni kitu gani anahitaji katika maisha yake na kuhakikisha anakitimiza yeye mwenyewe na hata kama tutatoa mawazo yetu na maoni yetu mwamuzi wa mwisho ni yeye afanye vipi. Zaidi ya hapo tutaitwa wapekupeku tu
 
Back
Top Bottom