maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,277
- 5,514
ndo maana wanamuita le mutuz..le baharia.....le cameron.....?ha ha ha ha ha utanipa ban ya siku3 teh... any way jamaa anakuwa ka bwabwa bwa bwa muda wote anakuwa na mabint...
ndo maana wanamuita le mutuz..le baharia.....le cameron.....?ha ha ha ha ha utanipa ban ya siku3 teh... any way jamaa anakuwa ka bwabwa bwa bwa muda wote anakuwa na mabint...
Nimefuatilia kwa karibu mwenendo wa rafiki yetu William John Malecela katika mitandao mbalimbali ya kijamii na kushindwa kutoa hitimisho juu ya nini kinachomsibu kwa sasa. Nilimfahamu William kama msomi mzuri tena wa sayansi ya mambo ya bahari, kijana mwenye maono yanayolingana na ya baba yake mzee John Samwel Malecela ambaye sikuwa na shaka angefuata nyayo za uongozi kutoka kwa baba yake. Ninayoona kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii siamini kama ni mambo yanayofanywa na william niliyemfahamu. William alikuwa New york city anafanya kazi nzuri sana inayompa mshahara si chini ya dola 10,000 kwa mwezi leo hii nakuja kusikia yuko hapa anazunguka tu na kupiga picha na vischana je nini hasa kimemtokea william? maoni yake mbalimbali humu JF yanaashiria ni kama mtu aliyekata tamaa je tufanyeje kumsaidia ndugu yetu huyu ili arudi kwenye hali yake ya kawaida? naongea kwa dhati na asitokee mtu hata mmoja kupinga hoja hii
Give up?You never give up huh?
Ukumbuke huyo ni Baharia! ule mtandao wa 0713 unatowa? maana bila hivyo hujamfikisha bado.Muacheni darling wangu!!..