mamaudaku
JF-Expert Member
- Nov 24, 2016
- 706
- 465
Ila wasije wakamtoa huyo jamaa maana sisi wengine tukitoka huku Bungu tukifika mjini huyo jamaa anakuwa Alama kubwa sana huwezi kupotea kufika ofisi ya mjomba
Ila wasije wakamtoa huyo jamaa maana sisi wengine tukitoka huku Bungu tukifika mjini huyo jamaa anakuwa Alama kubwa sana huwezi kupotea kufika ofisi ya mjomba
HahahahjaHahaaaa nyie watu huwa mnavuta cha arusha ndio mnachangia au?
Lol. KhaaaaaWanajeshi Mungu anawaona.....akiwa Mkuu wa Jitegemee Secondary,Afande Mkisi tulimuomba sisi wanafunzi wa form one na two tuvae suruale....jibu lake ataturuhusu siku yule askari pale samora akivaa suruale
Watakuwa wanaweka ya DiamondWatakua wanafanya maboresho tu mkuu...subiri kuiona taswira mpya na nzuri zaid ktk eneo hilo baada ya muda
Wanajeshi Mungu anawaona.....akiwa Mkuu wa Jitegemee Secondary,Afande Mkisi tulimuomba sisi wanafunzi wa form one na two tuvae suruale....jibu lake ataturuhusu siku yule askari pale samora akivaa suruale
Wanajeshi Mungu anawaona.....akiwa Mkuu wa Jitegemee Secondary,Afande Mkisi tulimuomba sisi wanafunzi wa form one na two tuvae suruale....jibu lake ataturuhusu siku yule askari pale samora akivaa suruale