Nini kinafanywa kwenye mnara wa askari Dar?

Baada ya ' Trafiki ' kuona ' mapato ' yanaongezeka mno kutokana na ' makosa ' mengi ya barabarani unaotokana na ' uzembe ' wa madereva hasa wa ' madaladala ' sasa wameamua kuweka hayo ' mabati ' ili kila sekunde, dakika na saa muwe mnagonga kisha mnakamatwa na kulipishwa ' fine ' kubwa tu.

Estimation ya haraka haraka iliyofanyika hapo ni kwamba kwa siku patakuwa ' panagongwa ' na madereva wa ' madaladala ' mara 500 kutokana na palivyokuwa ' rafiki ' kugongwa na kila kosa hapo litaanzia Tsh 50,000/ hadi Tsh 100,000/ hivyo piga hesabu zako tu hapo kwa siku ' Trafiki ' watakuwa ' wanakusanya ' kiasi gani hapo ndipo utapata jibu ' mujarab ' kabisa na kwanini sasa kinawekwa hivyo.
 
wasijekuwa wanafuata ushauri wa hawa watungasheria wetu kwamba uwekwe mnara wa mama tifan aka domo.
 
Wanajeshi Mungu anawaona.....akiwa Mkuu wa Jitegemee Secondary,Afande Mkisi tulimuomba sisi wanafunzi wa form one na two tuvae suruale....jibu lake ataturuhusu siku yule askari pale samora akivaa suruale
Aisee nilopofika dsm for the first time nilishangaa sana kuona wanafunzi wa sekondari wakivaa kaptura sasa ilikuwa ngumu sana kutofautisha mwanafunzi wa shule ya msingi na sekondari,unakuta mwanafunzi kijeba eti kavaa kaptura wenyewe wakawa wanaita pensi,maskini wee walimu wakuu wa dsm hawakujua kuwa kuvaa suruali kwa mwanafunzi wa sekondari ilikuwa ni kutoa motisha kwa mwanafunzi wa msingi kusoma kwa bidii na kutamani kusonga mbele kusoma sekondari ili avae suruali ajione watofauti,eti wanasema hizo kaptura zilikuwa zinawasaidia na hali ya hewa ya joto ya darisalama,so pathetic
Wanajeshi Mungu anawaona.....akiwa Mkuu wa Jitegemee Secondary,Afande Mkisi tulimuomba sisi wanafunzi wa form one na two tuvae suruale....jibu lake ataturuhusu siku yule askari pale samora akivaa suruale
 
Back
Top Bottom